Mwigizaji Iniedo akiri kubebewa mimba na mwanamke mwingine

Kabisa,
Aliepata uchungu keshalipwa chake, katembea zake[emoji16]
 
Labda sijaelewa nielewesheni

Huyo iniedo alikuwa hana kizazi, au alikuwa hataki kubeba tu mimba au ana tatizo gani mpaka aombe kubebewa mimba na mwanamke baki?

 
Ndio ukweli lakini...unatakiwa ukiwa unamnyonyesha bby wako hapo ukimwamgalia unakumbuka jinsi hubby alikugaragaza mpaka kunyunyuzia mbegu kwa mbususu[emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah, wee unapenda ngono mnooo khaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…