brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Muuulize mkuu haujawazoea tu vjana wa pwani kwa taarabu mapovuMkuu nimetaka nikulize kitu ila naogapa matusi ya wanaume wa dar
tehteh...so Tiffah anakaribiana Tristan Thompson ilihali hata hatambui kama ana account?Hapo ndo unapojua watanzania tumejikita kwenye insta zaidi, AKI ana followers 106,000 wakati Tiffah ana 860,000+
tehteh...so Tiffah anakaribiana Tristan Thompson ilihali hata hatambui kama ana account?
HahahahahHa ha ha, hata Le Akili Kubwaz anapitwa wakati yeye ndo King of All Social Networks
Hahahaha...!!!Muuulize mkuu haujawazoea tu vjana wa pwani kwa taarabu mapovu
Kamtukana alikiba et anaswaga zakisikichanaBaada ya kuusifia?
Weka ushahidi,Kamtukana alikiba et anaswaga zakisikichana
Ungemalizia "wakati Nigeria wana ahueni kiuchumi (assuming wengi wanamiliki simu) ukilinganisha na sisi na huku ikiwa na population karibu mara 4 ya Tanzania!Hapo ndo unapojua watanzania tumejikita kwenye insta zaidi, AKI ana followers 106,000 wakati Tiffah ana 860,000+
Ungemalizia "wakati Nigeria wana ahueni kiuchumi (assuming wengi wanamiliki simu) ukilinganisha na sisi na huku ikiwa na population karibu mara 4 ya Tanzania!
Nimefungua a/c y Instagram kwa project ambayo haijaanza lakini watu washaanza kui-follow wakati sijaitangaza hata kidogo! And remember, mimi sio mchangiaji wa Instagram
Angalau kwa uchumi wa kwenye makaratasi; wako vizuri kuliko sisi tena wakituacha kwa mbali!! Sie bhana tunapenda sana haya mambo na ndio maana iwe Facebook au Instagram; nini Followers... yaani hata ku-comment tunashindana!Mkuu swala la ahueni kiuchumi kwa Nigeria sina uhakika nalo, ila sisi tuko busy sana na vitu ambavyo siyo vya msingi sana.
Nacheka bureHa ha ha, hata Le Akili Kubwaz anapitwa wakati yeye ndo King of All Social Networks
Ha ha ha wa mkoan hawajui kutukana eeeh?Mkuu nimetaka nikulize kitu ila naogapa matusi ya wanaume wa dar