Mwigulu Ijumaa ijayo atavuma tena, ushauri wa kupunguza kodi ya 1% ya mishahara ya watumishi wanyonge unamkosanisha Rais na Watanzania

1% sio kiasi hicho kiongozi, Kama CWT wananikata 2% ni 18,200 nadhani hiyo unategemea na basic yako
Hesabu za kodi ni tofauti na hizo za kukatwa na CWT. Kumbe wewe ni Mwalimu! Vipi unajisikiaje mlivyosaidia kuiba kura mwaka jana?
 
Hesabu za kodi ni tofauti na hizo za kukatwa na CWT. Kumbe wewe ni Mwalimu! Vipi unajisikiaje mlivyosaidia kuiba kura mwaka jana?
Huwa sifungamani na siasa uchwara mimi, huwa nafanya mambo yangu ya maisha baada ya kazi, kama kilimo na ufugaji.
Ukitegemea wanasiasa mambo yako yaende utaumia tu, pambana kivyako
 
Sasa napata picha ya skafu shingoni mwake kumbe ni ishara ya kitanzi cha kunyongea watz na si mzalendo kama walivyokuwa wanamzania, mmh!?
 
1% sio kiasi hicho kiongozi, Kama CWT wananikata 2% ni 18,200 nadhani hiyo unategemea na basic yako
Duuh,

Kama ndo matarajio yako ndugu yangu hutaamini macho na kichwa chako.

Iliyosemwa hapo juu ndo sahihi na ndo utaipokea.
 
Duuh,

Kama ndo matarajio yako ndugu yangu hutaamini macho na kichwa chako.

Iliyosemwa hapo juu ndo sahihi na ndo utaipokea.
Wataongeza kiasi cha shilingi 9400 kutokana na basic yako na sio kiwango cha mshahara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…