Mwigulu: Kodi ya pango itakusanywa na TRA

Mwigulu: Kodi ya pango itakusanywa na TRA

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001

“Kodi ya pango itakusanywa na TRA” Mwigulu"​


2C392F38-B927-4947-BD8D-E6C404DA9F6A.jpeg

Waziri wa fedha na Mipango, Dr. Mwigulu Nchemba amesimama Bungeni leo September 20, 2022 na kutoa kauli ya Serikali kuhusu tozo ambapo ameeleza marekebisho yatakayofanyika a kuanza kutumika kuanzia October 1, 2022.

Waziri Mwigulu amesema “Serikali inafuta utaratibu wa kodi ya zuio inavotokana na pango kukusanywa na
Mpangaji na badala yake jukumu hilo linarejeshwa kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa utaratibu utakao bainishwa kwenye kanuni”.

“Napenda kusisitiza kuwa kodi ya zuio ya pango sio ya Mpangaji bali inapaswa kulipwa na Mpangishaji ambaye ndiye anapokea mapato kutokana na uwekezaji au biashara ya kupangisha”

“Utaratibu huo umekuwa ukitumika kwa muda mrefu kwenye nyumba za biashara na nyumba zinazopangishwa kwenye makampuni au mashirika yanayofunga ritani za kodi
 
Hii serikali bana.

Yaani badala ya kugundua au kuboresha njia zingine zingine za kuingiza kipato cha Taifa wanategemea kunyonya Wananchi tu

Boresheni idara ya Kilimo, Uvuvi na viwanda tuexport products nje na kukuza uchumi wa nchi

Kumchuna Mwananchi hakuwezi kukuza uchumi, huo ni uvivu.
 

“Kodi ya pango itakusanywa na TRA” Mwigulu"​


2C392F38-B927-4947-BD8D-E6C404DA9F6A.jpeg

Waziri wa fedha na Mipango, Dr. Mwigulu Nchemba amesimama Bungeni leo September 20, 2022 na kutoa kauli ya Serikali kuhusu tozo ambapo ameeleza marekebisho yatakayofanyika a kuanza kutumika kuanzia
October 1, 2022
Waziri Mwigulu amesema “Serikali inafuta utaratibu wa kodi ya zuio inavotokana na pango kukusanywa na
Mpangaji na badala yake jukumu hilo linarejeshwa kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa utaratibu utakao bainishwa kwenye kanuni”
“Napenda kusisitiza kuwa kodi ya zuio ya pango sio ya Mpangaji bali inapaswa kulipwa na Mpangishaji ambaye ndiye anapokea mapato kutokana na uwekezaji au biashara ya kupangisha”
“Utaratibu huo umekuwa ukitumika kwa muda mrefu kwenye nyumba za biashara na nyumba zinazopangishwa kwenye makampuni au mashirika yanayofunga ritani za kodi
Kivipi aaah au ni Yale maswali ya kisensa sensa ee?
 
Dah mazezee ilibaki kidogo tu tuingie katika historia za uchumi. Lol watanzania tungefanywa case study katika medani za kiuchumi miaka na miaka, kama wateja wanaomkata kodi mfanyabiashara katika bidhaa.....
 

“Kodi ya pango itakusanywa na TRA” Mwigulu"​


2C392F38-B927-4947-BD8D-E6C404DA9F6A.jpeg

Waziri wa fedha na Mipango, Dr. Mwigulu Nchemba amesimama Bungeni leo September 20, 2022 na kutoa kauli ya Serikali kuhusu tozo ambapo ameeleza marekebisho yatakayofanyika a kuanza kutumika kuanzia
October 1, 2022
Waziri Mwigulu amesema “Serikali inafuta utaratibu wa kodi ya zuio inavotokana na pango kukusanywa na
Mpangaji na badala yake jukumu hilo linarejeshwa kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa utaratibu utakao bainishwa kwenye kanuni”
“Napenda kusisitiza kuwa kodi ya zuio ya pango sio ya Mpangaji bali inapaswa kulipwa na Mpangishaji ambaye ndiye anapokea mapato kutokana na uwekezaji au biashara ya kupangisha”
“Utaratibu huo umekuwa ukitumika kwa muda mrefu kwenye nyumba za biashara na nyumba zinazopangishwa kwenye makampuni au mashirika yanayofunga ritani za kodi
Kumbe ilikua inakusanywa na nani?

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Napendekeza waunde bodi au agency wakukusanya hizo Kodi za kupangisha yaani Kaz za hao itakuwa Ni kukusany Kodi hyo tu italeta tija na pesa kweli itapatikana Ni vzr hwa wenye nyumba walipe mtu unamlipa milion 3 kwa mwak hata laki Kutoa serekalini anashindwaa hapn hi ikuzanywe

Ndugu zangu wananyumba za kuoanga Ila siwaoneo wivu hata kidg walipe aise

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Napendekeza waunde bodi au agency wakukusanya hizo Kodi za kupangisha yaani Kaz za hao itakuwa Ni kukusany Kodi hyo tu italeta tija na pesa kweli itapatikana Ni vzr hwa wenye nyumba walipe mtu unamlipa milion 3 kwa mwak hata laki Kutoa serekalini anashindwaa hapn hi ikuzanywe

Ndugu zangu wananyumba za kuoanga Ila siwaoneo wivu hata kidg walipe aise

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mbona tunalipa toka siku nyingi tu!
 
Tozo ya taka
-hata kama uzalishi taka zozote wanataka hela hii ni dhulma ya wazi.
Arangement ya kodi ya pango inachanganya kweli maana NYUMBA nyingi kodi ni miezi 1,2,3 sijui itakuwaje?
Nadhani TRA westabilish mfumo wa kodi za nyumba uwe ni Kwa mwezi kama msajili wa majumba,ARANGEMENT INANITATIZA,nyumba zingine mpangaji anaondoka,mpangaji mpya ajapatikana chumba kiko wazi,lots of implications sijui itakuwaje?,HUENDA TRA WAKALETA USUMBUFU WAKUKERA,KWA SABABU TENANTSHIP PERIODS HUWA ZIPO VAGARANT?NA ZIPO NYUMBA HUWA EMPTY KWA MIEZI MPAKA 6.
 
Huyu mtu hata haelewi anachisema, mchumi gani asiyejua taxation? kwani mwanzo kodi ilikuwa inakusanywa na nani? Mkusanya kodi ni TRA, ishu ilikuwa nani awithhold, mpangaji au mwenyenyumba
 
Back
Top Bottom