jenga hoja yako acha matusi wanahusikaje? kama sio kutaka kuwachafuaUsikute upo chunyaaaa ukunywaaa ulanziii
Hapo juu wew umejenga hoja au umepost pichajenga hoja yako acha matusi wanahusikaje? kama sio kutaka kuwachafua
Kwani Mzee Mwinyi alipojuzulu Uwaziri wa Mambo ya ndani wakati wa Utawala wa awamu ya kwanza kwa makosa ya Watendaji wake wa chini inamaana kwamba alishiriki kufanya vitendo viovu kwa Wananchi?Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.
Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo
Prof. Mbarawa
View attachment 2806760
Mwigulu
View attachment 2806761
January Makamba
View attachment 2806759
Kwani nani kasema hao wanahusika na ofisadi?Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.
Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo
Prof. Mbarawa
View attachment 2806760
Mwigulu
View attachment 2806761
January Makamba
View attachment 2806759
DodokiMawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.
Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo
Prof. Mbarawa
View attachment 2806760
Mwigulu
View attachment 2806761
January Makamba
View attachment 2806759
Mwigulu akijiuzulu we utapata nini, acha roho mbaya namna hiyo, kapambane nawe upate fursa zinazofanana na hizo za Mwigulu. Maskini wana roho mbaya sana, furaha yenu ni kuona wenzenu wanaanguka.Kwani Mzee Mwinyi alipojuzulu Uwaziri wa Mambo ya ndani wakati wa Utawala wa awamu ya kwanza kwa makosa ya Watendaji wake wa chini inamaana kwamba alishiriki kufanya vitendo viovu kwa Wananchi?
Jibu,ni hapana ila aliwajibika kwasababu yeye ndiye mwenye dhamana.
Jifunzeni uongozi bora siyo kuropokaropoka kwasababu mnapewa vichenjichenji!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Hawahusiki vipi wakati bungeni wakijibu maswali wanataja ni wizara zao?Na fedha za budget huomba wao?walipasa wao wawataje wezi wanaowaibia sio wangoje siejiMawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.
Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo
Prof. Mbarawa
View attachment 2806760
Mwigulu
View attachment 2806761
January Makamba
View attachment 2806759
Wewe ni nani?,wakili wao,au CAG wa kujitegemea?Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.
Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo
Prof. Mbarawa
View attachment 2806760
Mwigulu
View attachment 2806761
January Makamba
View attachment 2806759
Asipokuelewa ujue ni mtoto wa kikopo huyoKwani Mzee Mwinyi alipojuzulu Uwaziri wa Mambo ya ndani wakati wa Utawala wa awamu ya kwanza kwa makosa ya Watendaji wake wa chini inamaana kwamba alishiriki kufanya vitendo viovu kwa Wananchi?
Jibu,ni hapana ila aliwajibika kwasababu yeye ndiye mwenye dhamana.
Jifunzeni uongozi bora siyo kuropokaropoka kwasababu mnapewa vichenjichenji!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Wewe utakuwa ni kimada wa MwiguluMwigulu akijiuzulu we utapata nini, acha roho mbaya namna hiyo, kapambane nawe upate fursa zinazofanana na hizo za Mwigulu. Maskini wana roho mbaya sana, furaha yenu ni kuona wenzenu wanaanguka.
Mpuuzi wahed.Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.
Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo
Prof. Mbarawa
View attachment 2806760
Mwigulu
View attachment 2806761
January Makamba
View attachment 2806759
Wakiiba ndiyo wanatajirika tuwaache waeendelee kuiba ili wasiwe na roho mbaya sawa.Mwigulu akijiuzulu we utapata nini, acha roho mbaya namna hiyo, kapambane nawe upate fursa zinazofanana na hizo za Mwigulu. Maskini wana roho mbaya sana, furaha yenu ni kuona wenzenu wanaanguka.
Da Esther unajitahidi kweli kumpambania mumeo.Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.
Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo
Prof. Mbarawa
View attachment 2806760
Mwigulu
View attachment 2806761
January Makamba
View attachment 2806759
Umeandika maneno mengi yasiyo na maana na haujaweka evidence.Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.
Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo
Prof. Mbarawa
View attachment 2806760
Mwigulu
View attachment 2806761
January Makamba
View attachment 2806759