Elineema Mosi
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 255
- 72
Ndugu wana JF
Jina langu ni Elineema Jonathan Mosi
, Wapo baadhi ya watu wanadaiwa na bodi ya mikopo nchini hawataki kulipa huku bodi ikikabiliwa na changamoto nyingi sana za ongezeko la waombaji chanzo cha uhakika sana naomba msibishe tu bila kuwa na risiti hapa
Mwigulu mchemba, mtela mwampamba naJuliana shoza wanadaiwa na bodi ya mikopo nchini, hivyo tunawaomba walipe madeni yao. Mtela katafute kazi ya Ualimu ulipe deni lako la mkopo, Mchemba kama unavyojivuna kuwa unatoa laki 5 kwa wenye shida basi lipa deni ulilokopa la bodi, tunajua unadaiwa huna nanna lipa deni lako ili wengine nao wakakope. Naanza na hao kwanza wakalipe, mzalendo namba moja.
Jina langu ni Elineema Jonathan Mosi
, Wapo baadhi ya watu wanadaiwa na bodi ya mikopo nchini hawataki kulipa huku bodi ikikabiliwa na changamoto nyingi sana za ongezeko la waombaji chanzo cha uhakika sana naomba msibishe tu bila kuwa na risiti hapa
Mwigulu mchemba, mtela mwampamba naJuliana shoza wanadaiwa na bodi ya mikopo nchini, hivyo tunawaomba walipe madeni yao. Mtela katafute kazi ya Ualimu ulipe deni lako la mkopo, Mchemba kama unavyojivuna kuwa unatoa laki 5 kwa wenye shida basi lipa deni ulilokopa la bodi, tunajua unadaiwa huna nanna lipa deni lako ili wengine nao wakakope. Naanza na hao kwanza wakalipe, mzalendo namba moja.