Mwigulu na Ndumbaro wajiuzulu kashfa ya kufuta madai ya Serikali Bilioni 19.7

Mwigulu na Ndumbaro wajiuzulu kashfa ya kufuta madai ya Serikali Bilioni 19.7

juma30

Senior Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
159
Reaction score
459
Mbunge, Luhaga Mpina amesema bungeni kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro amewasilisha taarifa ya uongo bungeni na kulisingizia Bunge kuwa lilipitisha Azimio la Bunge la kusamehe hasara na upotevu wa mali za Serikali zenye thamani ya Bilioni 19.7.

Hii inakuwa ni kashfa nyingine kubwa kwa Waziri Ndumbano kusamehe fedha hizo na kuwasingizia wabunge walipitisha azimio hilo.

Kama itathibitika azimio hilo ni la uongo Waziri wa Katiba na Waziri Mwigulu wanapaswa kujizulu.
 
Nitakuwa nje kidogo ya mada lakini waziri mwigulu afanye haraka kutengua uteuzi wa wakabila wafuatao.
Mkuu wa chuo TIA na mwingi ni Ceo wa GPSA akichelewa atajikuta amelowaaa.
Atengue uwepo wa Kadogosa na yule mkuu wa PPRA maana haiwezekani manunuzi ya nchi yaharibike bila yeye kujua.
Ni hayo tu
 
Mbunge, Luhaga Mpina amesema bungeni kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro amewasilisha taarifa ya uongo bungeni na kulisingizia Bunge kuwa lilipitisha Azimio la Bunge la kusamehe hasara na upotevu wa mali za Serikali zenye thamani ya Bilioni 19.7.

Hii inakuwa ni kashfa nyingine kubwa kwa Waziri Ndumbano kusamehe fedha hizo na kuwasingizia wabunge walipitisha azimio hilo.

Kama itathibitika azimio hilo ni la uongo Waziri wa Katiba na Waziri Mwigulu wanapaswa kujizulu.
INGEKUWA KENYA HAO MAWAZIRI WANGEJIUZULU ILA SIO TANZANIA HII NCHI MAWAZIRI WETU NI WELEDI WAKWELI NA WAZALENDO
 
Luhaga ana kazi maalum aliyopewa na Mama

JK pia aliwapa kazi hii kina Nape, Mama Kilango, Mwakyembe, Zitto n.k kwny awamu ya kwanza ya awamu yake watu wengi hawakujua
 
Back
Top Bottom