Mwigulu Nchemba hujaajiriwa na mitandao, majibu yao kwako yanadhalilisha nafasi yako ya Uwaziri. Kaa kimya...

Mwigulu Nchemba hujaajiriwa na mitandao, majibu yao kwako yanadhalilisha nafasi yako ya Uwaziri. Kaa kimya...

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Waziri ni cheo kikubwa sana, si cheo cha kufafanua hoja mitandaoni ni cheo cha kushughulika na changamoto za Wizara na kuzitatua.

Mwigulu ameshindwa kuzuia hisia zake, ameshindwa kujua yeye siyo mwenezi wa chama na jamii anayoiongoza haipaswi kushuhudia akitukanwa mitandaoni.

Hii Hali ilimtokea Kigwangala akajiona yeye ni updated kuliko wote na anadamu inayochemka kutetea wakubwa zake lakini mwisho wa siku alitumbuliwa kwa kushindwa kutoa huduma kwa kiwango tarajiwa.

Naona Mwigulu anawaza ukubwa zaidi ila nikiwa dada yake naomba nimkanye, aachane na jobless people ajikite kwenye kazi ya kuongoza Wizara.

Uwezi kutoa lugha chafu au akaunti yako ikajaa matusi then ukawasaka waliokutukana, utakuwa unawachokoza wakutukane utumie madaraka vibaya.
 
Huyo hakuwahi kujua majukumu yake, unakalia wizara yeye watu wasomi kama MAHAKIMU,MAJAJI, MUHIMILI WA MAHAKAMA upo chini yako lakini leo unahangaika kutwa nzima na mambo madogo madogo. Mwigulu kufanya kazi serikalini hawezi hata kidogo. Huyu alitakiwa abakie kwenye chama aendelee ku-editi video kama zile za kina Lwakatare.
 
Huyo hakuwahi kujua majukumu yake, unakalia wizara yeye watu wasomi kama MAHAKIMU,MAJAJI, MUHIMILI WA MAHAKAMA upo chini yako lakini leo unahangaika kutwa nzima na mambo madogo madogo. Mwigulu kufanya kazi serikalini hawezi hata kidogo. Huyu alitakiwa abakie kwenye chama aendelee ku-editi video kama zile za kina Lwakatare.

You must be joking! ...Tangu lini judiciary ikawa chini ya waziri?
 
Huyo hakuwahi kujua majukumu yake, unakalia wizara yeye watu wasomi kama MAHAKIMU,MAJAJI, MUHIMILI WA MAHAKAMA upo chini yako lakini leo unahangaika kutwa nzima na mambo madogo madogo. Mwigulu kufanya kazi serikalini hawezi hata kidogo. Huyu alitakiwa abakie kwenye chama aendelee ku-editi video kama zile za kina Lwakatare.
Mwingulu anachokijua ni kula njama za kunyamazisha watu kunyanyasa wapinzani si zaidi ya hapo
 
Eeeenh,

Hivi anakumbuka alitumbuliwa na kile kidada pale wizara ya mambo ya ndani?

Hawa watu hawana hata chembe ya aibu.
Alirejeshwa baada ya kukesha kushinda kwa waganga wa kienyeji na akatumia kauli ya kusema Tanzania hakuna corona watu waache kutoa takwimu na waendelee kusalimiana kukumbatiana bila kikwazo ndipo akateuliwa tena kuwa waziri na sasa corona imepamba moto na hana pa kujificha lazima apewe vidonge vyake apate kujitambua
 
Mitano tena! Wapinzani walituchelewesha sana au nasema uongo ndugu zangu?
 
Ebwana eeh, mwambieni Mwigulu aache kukurupuka. Wizara yake inahusika kusimamia haki na kuandaa draft za sheria.Vyombo vinavyohusika na usimamizi wa sheria viko chini ya Wizara ya mambo ya ndani. Huku ni kukurupuka hajui wajibu wake usimlaumu huenda anatafuta kujulikana
 
Unawadharau wasio na ajira wakati serikali yako pendwa ndio imewatangeneza, una kichwa kibovu sana.

Kwa akili yako fupi hufai kumshauri yeyote.
 
Acha ushamba, bajeti zote za mahakama kuanzia mishahara mpaka miradi ya maendeleo inatoka Wizara ya katiba na sheria

Ungekuwa unaijua kinagaubaga budget approval process inayotumika Tanzania, hilo pekee yake lisingekufanya ufikiri Judiciary iko chini ya waziri fulani!
 
Back
Top Bottom