Mwigulu Nchemba

DULLAH B.

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2011
Posts
672
Reaction score
149
Kwa nn huynu jamaa anapenda kuvaa bendera ya nchi anapokutana na mass? Mfano leo naangalia sherehe za kuzaliwa ccm on tbc1 amevaa bendera kama kawaida yake. Mm cmuelewi anaamanisha nn?
 
Huwa yupo kama mganga vile, hata mi simuelewagi......
 
Mkuu unashangaa kuvaa bendera kwenye sherehe za CCM? Jamaa anatinga skafu yake hata Kanisani siku za Jumapili!
 
anataka tu watu wamjue kwa staili hiyo hana lolote. Wengine wanajulikana kwa mema na mabaya. sasa hana la kukumbukwa nalo ameona watu wamjue hata kwa bendera
 
au ndio swaga zake? atuambie... lakini je taratibu za nchi zinaruhusu?
 
anaipenda nchi yake hadi anaamua aibebe mabegani kila anakoenda
 
Kwa nn huynu jamaa anapenda kuvaa bendera ya nchi anapokutana na mass? Mfano leo naangalia sherehe za kuzaliwa ccm on tbc1 amevaa bendera kama kawaida yake. Mm cmuelewi anaamanisha nn?

Anamaanisha kuwa anapenda kuivaa bendera ya Tanzania! Jee wale wanaovaa beji za bendera ya Tanzania hao unawaelewa?
 
Sioni tatizo mtu kuvaa scuf ya bendera ya nchi yake km anaipenda,mbona watu wanavaa za club mbali mbali za ulaya?
 
hayawezi kuwa maagizo ya mganga kweli,chezeiya politics weye
 
anataka tu watu wamjue kwa staili hiyo hana lolote. Wengine wanajulikana kwa mema na mabaya. sasa hana la kukumbukwa nalo ameona watu wamjue hata kwa bendera
His whole life is a big fake
 
Nishawahi kumsikia akihojiwa, anadai eti anajaribu kuweka ID yake kwa njia ya mavazi kama ilivyokuwa kwa viongozi wa zamani wa Afrika mathalani Mobutu Seseseko na mavazi yake ya ngozi ya chui, Kambarage na kifimbo n.k.
 
I hate politics

I hate this man

Kaz kutukana hovyo hadharan

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mbulula huyo...af huwa anatumia mkorogo.....
 
Kwanini wale viongozi wa chama fulani wanavaa magwanda kila wanapokuwa kwa mass mie huwa siwaelewagi... kama mercenaries hivi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…