Mwigulu soon out

Aondoke sasa ivi. Harufu mbaya yote inaanzia kwake.
 
Hata Mimi na wish hivyo lkn ndo wishes only! Ni mwana mpendwa wa msoga huyo! Mpaka za uvunguni wanasema Mzee alianzia kazi singida! Sasa alipokuwa huko singida ...... Aiseeee acha tuu
Wachague kuendelea kunuka au kukaza mbeleko.
Kilio na uchungu wa watanzania haujawahi kumwacha yeyote salama. Jambo likilalamikiwa sana huwa Mungu ana Approve.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…