Mwijaku achachamaa baada ya kuitwa "CHAWA" asema yeye ana degree 2 na heshima zake!

Mwijaku achachamaa baada ya kuitwa "CHAWA" asema yeye ana degree 2 na heshima zake!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mgombea ubunge wa CCM jimbo la Kawe mh Mwijaku alitaka kurusha ngumi Mbele ya waandishi wa habari baada ya kuambiwa na mwanaccmwenzake kuwa Yeye ni CHAWA.

Mwijaku alisema yeye ana kipato cha kutosha kukidhi mahitaji ya familia yake na ana degree mbili na ni mtu anayeheshimika hivyo ni matusi makubwa na ya nguoni kumuita ni "Chawa"

Dominica Njema!
 
Mgombea ubunge wa CCM jimbo la Kawe mh Mwijaku alitaka kurusha ngumi Mbele ya waandishi wa habari baada ya kuambiwa na mwanaccmwenzake kuwa Yeye ni CHAWA

Mwijaku alisema yeye ana kipato cha kutosha kukidhi mahitaji ya familia yake na ana degree mbili na ni mtu anayeheshimika hivyo ni matusi makubwa na ya nguoni kumuita ni " Chawa"

Dominica Njema!
Hili ni jukwaa la Siasa. Siyo udaku, JIHESHIMU
 
Mgombea ubunge wa CCM jimbo la Kawe mh Mwijaku alitaka kurusha ngumi Mbele ya waandishi wa habari baada ya kuambiwa na mwanaccmwenzake kuwa Yeye ni CHAWA.

Mwijaku alisema yeye ana kipato cha kutosha kukidhi mahitaji ya familia yake na ana degree mbili na ni mtu anayeheshimika hivyo ni matusi makubwa na ya nguoni kumuita ni "Chawa"

Dominica Njema!
KAMA CHAWA NI TUSI LA NGUONI, VIPI WALE YALIOJIITA CHAWA WA MAMA NA KUFANYA LAUCHING KUBWA NA YA AINA YAKE, WALIKUWA WANA LAUNCH MATUSI YA NGUONI?
 
Mgombea ubunge wa CCM jimbo la Kawe mh Mwijaku alitaka kurusha ngumi Mbele ya waandishi wa habari baada ya kuambiwa na mwanaccmwenzake kuwa Yeye ni CHAWA.

Mwijaku alisema yeye ana kipato cha kutosha kukidhi mahitaji ya familia yake na ana degree mbili na ni mtu anayeheshimika hivyo ni matusi makubwa na ya nguoni kumuita ni "Chawa"

Dominica Njema!
Kma watu wenye degree mbili ni ndo wapo kama mwijaku bora tusisome kabisa aisee maana ni aibu
 
Back
Top Bottom