Mwijaku Achukua Fomu ya Kugombea U spika wa bunge

Mwijaku Achukua Fomu ya Kugombea U spika wa bunge

lwambof07

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
4,643
Reaction score
5,335
Mtangazaji wa CloudsFM kipindi cha LEO TENA Burton Mwemba maarufu Mwijaku ni miongoni mwa Watanzania waliojitokeza leo Ofisi za CCM Lumumba DSM kuchukua fomu ya kugombea U-spika wa Bunge la Tanzania kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Job Ndugai.

Hii nchi haijawahi kuishiwa kwa vituko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
images (5).jpg
download (2).jpg
download (1).jpg


download (2).jpg


download (1).jpg
 
Hivi hilo bunge litakuwaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom