Kama aliweza kuchukua form ya uspika atashindwa nini ubunge ni swala la muda tuMwijaku simchukulii km mwanaume aliyetimia..
Alafu mtu km huyu unaweza kuta hizi sarakasi zake na uchawa wote target yake ni kuja kugombea ubunge 2025 kule kazula mimba-kigoma Kwa tiketi ya CCM na anapita..sijui tumelogwa na Nani watz
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hipo ulimaanisha kiboko yule wa kwenye maji?na kujipendekeza kote kwa ccm na kwa mama ila serikali hipo pale pale .
fundisho kwa ccm na chawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unanilipia ada?Hivi wewe huwa unasoma saa ngapi kila muda uko mitandaoni?
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] warumi, umenikumbusha mbali mnoo.Mambo gani tena hayo best. Tunamkumbuka Warumi sasa no ........
Sehemu za siriUtupu ndio nini?
Aiseee huu uchawi mbona 🤔Nina kijana wangu pale Mnazi Mmoja Zanzibar amenitumia baadhi ya picha za Mwijaku asubuhi hii akimsifia Rais SSH.
View attachment 2213462View attachment 2213463View attachment 2213464