Pre GE2025 Mwijaku alimuweka mke wake Rehani kwenye mechi ya Simba na Yanga halafu 2025 anataka CCM impitishe agombee Ubunge Kawe, akipita Nitashangaa sana

Pre GE2025 Mwijaku alimuweka mke wake Rehani kwenye mechi ya Simba na Yanga halafu 2025 anataka CCM impitishe agombee Ubunge Kawe, akipita Nitashangaa sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mtu anayemdharirisha mkewe wa Ndoa kwa mambo madogo madogo kama ya Mpira hafai kabisa kuwa Mbunge iwe ni Kawe au Kigamboni, anasema mzee Mgaya

Mzee Mgaya anasema CCM inaweza ikajichanganya na kumpitisha Mwijaku ila Wanachama hawatakubali huku mtaani kwani 75% ya Wapiga kura wa CCM ni wamama

Baadae Mlale Unono 😀

PIA SOMA

- Mwijaku vipi ameshamkabidhi Ali Kamwe Mke wake haaa!
 
Back
Top Bottom