Kasema wapi hayo maneno,tuwekee link na sie tukaone
Kasema wapi hayo maneno,tuwekee link na sie tukaone
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Hawa watu wenye maneno shombo watakuja kutia hasara siku moja taasisi zilipishwe fidia kwa kuchafua watu au taasisi zingine.
Vile vile siku ukimvunjia mkataba shombo ataziendeleza dhidi yako
Hivi ukisikiliza hii kauli ya Mwijaku ni nani atakayetulia kama sio mashabiki wa Simba? Anaonesha alivyo mtupu kichwani hajui yapi ya kuyazungumzakwa mwijaku mtatulia tu! manara wenu sashivi atakuwa anaropekea chumbani maana kashampata wa size yake
Makubwa hayaMuhamasishaji ndio huyo keshapatikana, mambo yameanza kwa mashabiki na viongozi wote wameshahamasishwa watembee uchi mitaa ya Mwenge hadi Kawe. Kama haitoshi kasema kabisa tuwapige mawe hadi mjifie hayo sio maneno yangu ni maneno ya muhamasishaji wenu.
Tunasubiri ahamasishe wapi mtaanza kua mnavulia nguo ili muanze huo msafara wa kutembea uchi huku mkiongozwa na Mwijaku mwenyewe muhamasishaji wenu. Sisi Yanga bila hiyana tutakuwa tunawaangalia kwenye TV hadi mnapomaliza zoezi lenu kama muhamasishaji alivyosema na tunawatakia kila la kheri.
Kuish Tanzania ni rahisi sana, Mwijaku anaish kwa kumnanga Diamond.
Makubwa haya
🤣🤣🤣🤣🤣 Ndio bongo hii utafanyajeKuish Tanzania ni rahisi sana, Mwijaku anaish kwa kumnanga Diamond.
Aliyependekeza huyu jamaa awe msemaji wetu hataiyona pepoMuhamasishaji ndio huyo keshapatikana, mambo yameanza kwa mashabiki na viongozi wote wameshahamasishwa watembee uchi mitaa ya Mwenge hadi Kawe.
Kama haitoshi kasema kabisa tuwapige mawe hadi mjifie hayo sio maneno yangu ni maneno ya muhamasishaji wenu.
Tunasubiri ahamasishe wapi mtaanza kua mnavulia nguo ili muanze huo msafara wa kutembea uchi huku mkiongozwa na Mwijaku mwenyewe muhamasishaji wenu.
Sisi Yanga bila hiyana tutakuwa tunawaangalia kwenye TV hadi mnapomaliza zoezi lenu kama muhamasishaji alivyosema na tunawatakia kila la kheri.
Kuna mtu alisema hii nchi ni ya mzahamzaha na masihara masihara, nadhani nimeanza kumuelewa sasa.Kuish Tanzania ni rahisi sana, Mwijaku anaish kwa kumnanga Diamond.
Shida ya huyu mpira hajui hata ukimwambia ataje wachezaji 6 tu wa Simba hakupi jibu Bora uwe una maneno ya shombo lakini angalau unakuwa unajua team yako unayoisemea pamoja na mpira kiujumlaHapo ndo Mwijaku anazidi kuvuma,kutoa maneno ya shombo ili yawe mjadala ndo kiki kwake kama alivyo msukule na yeye ndo anapita mulemule.
Na Baba Levo anaishi kwa kumsifia Diamond, aiseee.Kuish Tanzania ni rahisi sana, Mwijaku anaish kwa kumnanga Diamond.
Mdomo mali yako unautumia unavyoweza.