Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwijaku amewajia juu baadhi ya Wakenya wanaoonyesha chuki na dharau kwa Diamond Platnumz na wasanii wengine wa Tanzania.
Kauli yake imefuatia taarifa za kuvunjika kwa show ya Diamond usiku wa kuamkia leo Jumapili kwa kile kinachodaiwa Mzozo mkali kuzuka Willy Paul akizuiwa kutumbuiza kabla ya Diamond Platnumz kwenye tamasha la Furaha City
Pia, Soma:
+ Mzozo mkali wazuka Willy Paul akizuiwa kutumbuiza kabla ya Diamond Platnumz kwenye tamasha la Furaha City
Mwijaku amewasisitiza kuwa maendeleo ya muziki yanahitaji ushirikiano na heshima kati ya nchi za Afrika Mashariki. "Wakenya kama hamtobadilika kamwe hamtakuja kufanikiwa kimuziki. Punguzeni ujuaji na roho mbaya"
Tazama wakati ambacho meneja wa Diamond, Sallam SK alionekana akimuomba Willy Paul amuache Diamond atumbuize kwanza.
Kauli yake imefuatia taarifa za kuvunjika kwa show ya Diamond usiku wa kuamkia leo Jumapili kwa kile kinachodaiwa Mzozo mkali kuzuka Willy Paul akizuiwa kutumbuiza kabla ya Diamond Platnumz kwenye tamasha la Furaha City
Pia, Soma:
+ Mzozo mkali wazuka Willy Paul akizuiwa kutumbuiza kabla ya Diamond Platnumz kwenye tamasha la Furaha City
Mwijaku amewasisitiza kuwa maendeleo ya muziki yanahitaji ushirikiano na heshima kati ya nchi za Afrika Mashariki. "Wakenya kama hamtobadilika kamwe hamtakuja kufanikiwa kimuziki. Punguzeni ujuaji na roho mbaya"
Tazama wakati ambacho meneja wa Diamond, Sallam SK alionekana akimuomba Willy Paul amuache Diamond atumbuize kwanza.