Sukari...ukapimeHabari Wana jukwaa! Kuna Binti anapitia changamoto ya mwili wote kuhisi maumivu ya kuwaka moto muda wote, miguu kuuma, mikono kushika ganzi na mabega kuumia lakini pia na meno yanamuuma ivyo vyote anavihisi Kwa pamoja, inaweza ikawa dalili ya ugonjwa Gani?
Duuu.Arudishe livyokula na kukimbia bila kutanua paja vinginevyo maumivu yatamzidi na atatoka damu kwenye kila tundu mwilini mwake na ndio kifo chake
Umewah pitia hii hal mkuu mi inanisumbua?Kapime SPINAL CORD
Habari mkuu, samahani huyu mgonjwa alipona?, kama alipona alipata matibabu gani mpaka kurudi ktk hali yake ya kawaida?, naomba msaada wako kwasababu nipo na mgojwa wa design hii pia.Habari Wana jukwaa! Kuna Binti anapitia changamoto ya mwili wote kuhisi maumivu ya kuwaka moto muda wote, miguu kuuma, mikono kushika ganzi na mabega kuumia lakini pia na meno yanamuuma ivyo vyote anavihisi Kwa pamoja, inaweza ikawa dalili ya ugonjwa Gani?
Namimi nataka kujua Nina Hali iyo ila nahis ni acid refluxHabari mkuu, samahani huyu mgonjwa alipona?, kama alipona alipata matibabu gani mpaka kurudi ktk hali yake ya kawaida?, naomba msaada wako kwasababu nipo na mgojwa wa design hii pia.