Mwili kuvimba balaaa!

Mwili kuvimba balaaa!

damtu

New Member
Joined
Nov 4, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Habari wanajamii.

Nina tatizo mwilini mwangu, nnapopata maradhi kama homa au maumivu mwilini nikitumia dawa ya aina yoyote inanidhuru, mwili unavimba hatari isipokuwa panadol tu! wakati mwengne hata sindano pia hunidhuru mpaka nichome sindano inaitwa hydrocotizon ndio napata nafuu. naomba mnisaidie nitumie dawa gani ninapoumwa jamani? napata tabu mwenzenu.

Mdau katika jamii.
 
Back
Top Bottom