Mwili unakosa nguvu nashidwa hata kusex

Ulienda hospital gani? isije ikawa una Kisukari wakati Zahanati uchochoroni wameona malaria...
 
ushaambiwa kula asali ya nyuki wadogo.
 
Acha ufala. dawa zenyewe za malaria zinapeak wiki moja. wewe unakomalia kujidhuru kisaikolojia.
Yes unajidhuru cuz utaposhindwa "kazi" utaanza kujishtukia na mwisho kuanza kukosa confidence halafu uje tena kututaka ushauri.
By then utakuwa ushachelewa.
 

Mshikaji anataka dawa ya kunywa na si vinginevyo...

Nashukuru sana kwa kunisaidia...

Babu DC!!
 
Ulienda hospital gani? isije ikawa una Kisukari wakati Zahanati uchochoroni wameona malaria...


Brilliant thinking.....norrow of pathological conditions is usually lethal...

Mdau anatakiwa kupumzika na kujipa muda wa kusoma zaidi na kupata facts zinazohusiana na ugonjwa wake...#


Hizi ndiyo dalili za kisukari (Diabetes).....Symptoms - American Diabetes Association®


Babu DC!!
 
Huyo mke nae hana huruma c amshaur mumewe na we baba inaelekea kitombi sn yan unajal sex klko afya looooo
 
Huyo mke nae hana huruma c amshaur mumewe na we baba inaelekea kitombi sn yan unajal sex klko afya looooo

kwa kweli nina miaka saba naye ila kwa alivyo mzuri sijawahi kumchoka yaani akivua nguo tu lazima huku chini kwangu jamaa adai vyake.
sio kwamba sijawahi kuumwa malaria na nikawa nasex ila ya safari hii imenishangaza sana hadi nikaanzisha huu uzi.
kabla ya kuoa nilikuwa sirudii demu, hit and run.
nilivyompata huyu tulienda tukapima tokea hapo nikaweka silaha chini.
miaka zaidi ya saba sijasex tofauti nae na huwa haninyimi
 
Sipati picha huyo mkeo kila siku duh!! Ucfikirie ngono mda wote bana,!
 
Huyo mke nae hana huruma c amshaur mumewe na we baba inaelekea kitombi sn yan unajal sex klko afya looooo

Mhhh dada wa wenyewe amemwambia asimsogelee mpaka awe fiti we ulitaka awe na huruma gani zaidi ya hiyo...
Ni kama kuna raia humu hazisikii raha bila kulaumu wanawake...
Eeeh MTUACHE
 
Pumzika acha homa iishe kabisa mwili upate nguvu kula vizuri,epuka stress , itapick tena usijali inshallah
 
Cell zako zimeshavurugwa mwilini na hivyo basi nakushauri unywe mma ya kutosha kwa siku walau lita 4 and in three days utakuwa umerudisha nguvu yako kabisa. Eat healthy and get enough rest in this time. And your strength shall be back if terms and conditions outlined here are observed.
KAAZII NI KWAKOOOOO
 
Huyo mke nae hana huruma c amshaur mumewe na we baba inaelekea kitombi sn yan unajal sex klko afya looooo

Jamaa sex drive yake iko juu sana inavyoonekana.
Mkewe kweli ameokota jembe.
Tehe tehe tehe tehe....
KAAAZII NI KWAKEE
 
Nenda Hospital kubwa eleza tatizo lako watakusaidia wataalam watakufanyia vipimo vya fertility profile, sugar etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…