Kama ni mambo yetu yaleee ya unga wa ugali hapo lazima kitu ichelewe, na huyo mgonjwa akipona atakuwa na kesi ya kujibu..... Hela za haraka zina mitihani yake wapendwa. Wazazi wetu hawakuwa wajinga kuishi maisha ya kawaida miaka yao yote ya kutukuza. Leo hii una miaka 28 unataka umiliki nyumba, gari, biashara kubwa n.k ni lazima upite short cut