masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
-
- #221
Alikuwa anapendwa na watu, na alikuwa mioyoni mwao.Uzi umechangiwa kweli kweli huu wa marehemu Dr Mwele Ntuli. Angekuwa aliyefariki ni Mwakifyatu hata angekuwa alikuwa na wadhifa wa Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa, sidhani kama wachangiaji wangefika hata kumi. Hapa wameshafika zaidi ya 221. Nimekumbuka ule wimbo wa Msondo ngoma!
Nafahamu hiyo ajali, ilitoke hapo unapo sema zamani kulikua na kakilima fulani hivi , kulikua na jirani yetu anaitwa Terrence kwenye hiyo ajali ana aka vunjia mguu., mademu walio kuwepo nime wasahau ila na dhani nilikua nina fahamu mmoja wapo ,Alikuwa anasoma UDSM Engineering, anaitwa Senyagwa, alifarili 1984 kwa ajali akiwa anatoka Disco na benz ya baba yake. Alifia karibu na njia panda ya kwenda St. Peters Catholic church, kule Mbuyuni. Baba yake alienda kikazi Uingereza, yeye huku nyuma akamuomba mama yake ampe fungu za benz, akaenda disco la akina Kalikali enzi zile mpaka alfajiri na ndipo njiani akakutana uso kwa uso na lori, nadhani alisinzia shauri ya uchovu.
Hao Samuel, Tully siku wahi wajua , ni wa mma mmoja pia?Samweli pia. Samweli ni mdogo ila ndo alipewa usemaji wa familia hapa Dar. Wakiume wamebaki wawili Lemutuz na Samweli. Wa kike wapo Sece,Mwendwa,Tully na Nyagwa.
Wapi nimemtaja Ippy kwenye nilicho andika, Fmilia hiyo na ijua tuli kua majirani toka walipo kuwa Oysterbay na mpaka walivyo hama ,Lemutuz sikuwai muona wala kumsikia , hakuishi nao ,nilio wajua ni Huyo Kaka yao, Mwele,Seche na mwendwa. hao wadogo Kina Ntuli , Samuel and mwenzao pia siku wahi wajua labda walikua wadogo zaidi au walikua hawaja zaliwa , Ila watoto wa yule mama aliye fariki niliwajua hao wanne nilio wataja.Ippy kafa inafika miaka 20 sasa acha uwongo lemutuz alikimbilia marekani huko kaishi zaidi ya miaka 30 karudi bongo alifikia kwa baba yake...
kaja kua mpambe wa watu wenye vyeo
Mzee Malecela kwa kweli kapitia mapito magumu sana kifamilia.Wapi nimemtaja Ippy kwenye nilicho andika, Fmilia hiyo na ijua tuli kua majirani toka walipo kuwa Oysterbay na mpaka walivyo hama ,Lemutuz sikuwai muona wala kumsikia , hakuishi nao ,nilio wajua ni Huyo Kaka yao, Mwele,Seche na mwendwa. hao wadogo Kina Ntuli , Samuel and mwenzao pia siku wahi wajua labda walikua wadogo zaidi au walikua hawaja zaliwa , Ila watoto wa yule mama aliye fariki niliwajua hao wanne nilio wataja.
MAZISHIMwili wa marehemu Dr. Mwele Ntuli Malecela umewasili Dar es salaam mnamo saa sita usiku na ndege ya KLM.
Mwili umepokelewa na baba yake mzee Samwel Malecela pamoja na waombolezaji wengi waliogubikwa na huzuni, na waliosubiri uwanjani toka jioni.
Msafara uliekekea moja kwa moja nyumbani kwa mzee Samwel Malecela ambapo sala fupi zilifanyika.
Mzee Abdulrahman Kinana aliyekuwa Katibu Mkuu CCM na Mama Kate Kamba Mwenyekiti wa CCM DSM, walishiriki misa hiyo fupi ya kuupokea mwili nyumbani kwa mzee Malecela.