Mwili wa Nimrod Mkono kuwasili nchini May 27

Mwili wa Nimrod Mkono kuwasili nchini May 27

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Butiama Vijijini, Nimrod Mkono aliyefariki April 18 unatarajiwa kuwasili nchini May 27.

Mazishi yanatarajiwa kufanyika kijijini kwao Kigori Buswege Wilaya ya Butiama mkoani Mara.

Mkono.jpg
 
Na tayari Mdogo wake Mzee Zadock ( Baba Mzazi wa Msanii wenu Nahreel ) ameshatangulia Kijijini Busegwe Uzanakini Wilayani Butiama Mkoa wa Mara kukamilisha taratibu zingine.

OMBI

Kwakuwa Mzee wa Watu ameshakaa katika Friji za Mochwari kwa zaidi ya Wiki Tano sasa sishauri Mwili wake ukitua kuwe na Mbwembwe nyingi na Kupoteza kwingi muda bali aagwe haraka na asafirishwe kwa Maziko haraka ili apumzike katika Nyumba yake ya Milele.

Haya Pascal Mayalla na Waandishi Wenzako wa Habari ulitaka Updates za Msiba Nimeshakupenda hivyo nanyi sasa kwa mengine ya zaidi anzieni hapa.

Aliyenipa Taarifa hii japo imefanywa ni Siri na sijui ni kwanini ni Mmoja wa wana Kamati ya Maandalizi ya Msiba na hakujua na hatojua kuwa aliyekuwa akiongea nae ni Mimi MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person" wa hapa JamiiForums.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume na Dr Matola PhD

Poleni nyote kwa Msiba huu Mzito.
 
kumbe yule mzee bado hajazikwa..mbona imechukua muda mrefu kuleta mwili au mpunga umekata
 
Na tayari Mdogo wake Mzee Zadock ( Baba Mzazi wa Msanii wenu Nahreel ) ameshatangulia Kijijini Busegwe Uzanakini Wilayani Butiama Mkoa wa Mara kukamilisha taratibu zingine.

OMBI

Kwakuwa Mzee wa Watu ameshakaa katika Friji za Mochwari kwa zaidi ya Wiki Tano sasa sishauri Mwili wake ukitua kuwe na Mbwembwe nyingi na Kupoteza kwingi muda bali aagwe haraka na asafirishwe kwa Maziko haraka ili apumzike katika Nyumba yake ya Milele.

Haya Pascal Mayalla na Waandishi Wenzako wa Habari ulitaka Updates za Msiba Nimeshakupenda hivyo nanyi sasa kwa mengine ya zaidi anzieni hapa.

Aliyenipa Taarifa hii japo imefanywa ni Siri na sijui ni kwanini ni Mmoja wa wana Kamati ya Maandalizi ya Msiba na hakujua na hatojua kuwa aliyekuwa akiongea nae ni Mimi MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person" wa hapa JamiiForums.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume na Dr Matola PhD

Poleni nyote kwa Msiba huu Mzito.
Ukishapigwa ban kwenye id yako uchwara ya GENTAMYCINE unakuja kivingine na hiiid yako.


Tulia hapo wewee ukivizia na kusubiria ubwabwa.

Popoma unakera

Nyau wewe
 
Haya Pascal Mayalla na Waandishi Wenzako wa Habari ulitaka Updates za Msiba Nimeshakupenda hivyo nanyi sasa kwa mengine ya zaidi anzieni hapa.

Poleni nyote kwa Msiba huu Mzito.
Ukuu MINOCYCLINE , asante sana kwa taarifa hii, ambayo naichukulia na naihesabu kama just an info tip only, wakati tukisubiri taarifa rasmi kutoka kwa msemaji rasmi wa familia.

Info tips kama hizi, zinasaidia sana watu kujipanga, na kwa vile watu wa pande zile wengi ni Wasabato, mwili ukiwasili Jumamosi ambayo ni siku ya Sabato, sidhani if they can do anything!, hivyo najipanga kumuaga Mkono ni Jumapili, na kusafirishwa, mazishi yatafanyika J.3 au J.4 kijijini Butiama.
P
 
Huyu mzee kumbe hajazikwa badoo? Achilia kuletwa huku mwili wake? LOL
 
Back
Top Bottom