Hapana sidhani kama ndio hao kina Cindy?
Nafkiri ni wengine walikuwa miaka ya nyuma kidogo.
Pia kuna yule.jamaa aliefatiki Radio alikuwa na kipaji sana.
Halafu mnisaidie ile sign nyingi video zikiisha inaandikwa " tugende tukole " halafu linafata "Leon island" ni ya nani?
Niliskia ni ya chameleon
Yaani ni kampuni ya kushoot video ile sio wimbo mmoja tu nyimbo nyingi yaaniSio wimbo wa mambo bado. Chameleone
Acha Bangenipo nae gheto
Huyu Dada alitisha sana kipindi kile
Nyimbo zake ninazo zote
Kuna tindatine, nzewowo, na kuna hii Kali "sirikusula"...
Huyu bado yupo kwa sasa na kaachia kibao karibuni ..
Uganda zamani walikuwa wanajua sana muziki aseeh.
Kuna mdada mwingine aliitwa Sarah zawede ..halafu Juliana , herieth kinseka.
Walitisha mnoo
Pia video hiyo tindatine ni kisa cha ukweli kiliwahi tokea ndo akatungia nyimbo.
Video ilishutiwa sehemu moja Uganda inaitwa mbarari
Uganda kwa sasa nawajua wachache sana ..mbona waganda bado wapo hot sema tu siku hizi hakuna acts wakubwa wanaoimba lugha zinazoeleweka bongo kama zamani mfano Goodlife, Jackie chandiru, Blue 3, Chameleon
Ila bado wapo vizuri kwenye production ya muziki wao haswa quality videoz na pia wana acts kama Eddy Kenzo, Azawi, sheebah etc ambao bado wanahit East Africa nzima
Uganda kwa sasa nawajua wachache sana ..
Hao uliowataja tu sana sana eddy kenzo
Ila sema jamaa audio zao zilikuwa na quality Kali sanaaa yaani inaskika vizuri .
Ni kama audio quality za wale jamaa wa makhirikhiri.. Zilikuwa zinaskika maskioni vizuri sanaa
Hapana sidhani kama ndio hao kina Cindy?
Nafkiri ni wengine walikuwa miaka ya nyuma kidogo.
Pia kuna yule.jamaa aliefatiki Radio alikuwa na kipaji sana.
Halafu mnisaidie ile sign nyingi video zikiisha inaandikwa " tugende tukole " halafu linafata "Leon island" ni ya nani?
Niliskia ni ya chameleon
.Uckute we ndo mdogo kwanguUsijali dogo ..
Mbalala Uganda siyo mbarari mkuuDada alitisha sana kipindi kile
Nyimbo zake ninazo zote
Kuna tindatine, nzewowo, na kuna hii Kali "sirikusula"...
Huyu bado yupo kwa sasa na kaachia kibao karibuni ..
Uganda zamani walikuwa wanajua sana muziki aseeh.
Kuna mdada mwingine aliitwa Sarah zawede ..halafu Juliana , herieth kinseka.
Walitisha mnoo
Pia video hiyo tindatine ni kisa cha ukweli kiliwahi tokea ndo akatungia nyimbo.
Video ilishutiwa sehemu moja Uganda inaitwa mbarari
Ewaaa gonga tanoWaliitwa obsession
Ni ya Dr Jose ChamelioneHapana sidhani kama ndio hao kina Cindy?
Nafkiri ni wengine walikuwa miaka ya nyuma kidogo.
Pia kuna yule.jamaa aliefatiki Radio alikuwa na kipaji sana.
Halafu mnisaidie ile sign nyingi video zikiisha inaandikwa " tugende tukole " halafu linafata "Leon island" ni ya nani?
Niliskia ni ya chameleon
Kula tanoNi ya Dr Jose Chamelione
Blessings MkuuKula tano
Vibe ya ki-gospel yupo vzr.Samahani wadau mwimbaji wa nchini Uganda aliyetamba Sana na wimbo wa TINDATINE Kuna mtu kaniambia alikufaga ni kweli au? Naomba msaada mwenye kujua View attachment 1651646
View attachment 1651647
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Ni Ssebo sio Sebo.Ni sebo sio sevo [emoji849]