Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Nimeangalia gemu ya juzi ya Simba vs kagera sugar nimemuona mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Simba anayewakilisha wanachama Bw.Mwina Seif Kaduguda akiwa amevalia jezi ya Simba ikiwa na nembo ya Sportpesa.
Kiukweli nimesikitika sana, Simba imeingia mkataba na M bet, mkataba mnono kuliko ule Yanga vs Sportpesa, lkn bado baadhi ya viongozi wa Simba wanavaa jezi zenye nembo ya Sportpesa, hii maana yake ni nini, je wanasaliti udhamini wa M bet, je hawakubaliani na mkataba huo, je Kaduguda hana uwezo wa kununua jezi mpya ya M bet, je kitendo cha Kaduguda na wenzake kuvaa jezi za sportpesa ilhali sasa tuko na M bet kinaashiria nini, je viongozi wetu wanatufundisha nini, hawa watu kweli wako wamoja ama wako kwa maslahi binafsi.
Nawaomba mashabiki wa Simba, ni usaliti mkubwa sana kuvaa jezi zenye nembo ya mdhamini wa yanga, sisi mdhamini wetu ni M bet, mtu yeyote anayevaa jezi za sportpesa huyo sio mwenzetu, huyo ni yanga.
Kiukweli nimesikitika sana, Simba imeingia mkataba na M bet, mkataba mnono kuliko ule Yanga vs Sportpesa, lkn bado baadhi ya viongozi wa Simba wanavaa jezi zenye nembo ya Sportpesa, hii maana yake ni nini, je wanasaliti udhamini wa M bet, je hawakubaliani na mkataba huo, je Kaduguda hana uwezo wa kununua jezi mpya ya M bet, je kitendo cha Kaduguda na wenzake kuvaa jezi za sportpesa ilhali sasa tuko na M bet kinaashiria nini, je viongozi wetu wanatufundisha nini, hawa watu kweli wako wamoja ama wako kwa maslahi binafsi.
Nawaomba mashabiki wa Simba, ni usaliti mkubwa sana kuvaa jezi zenye nembo ya mdhamini wa yanga, sisi mdhamini wetu ni M bet, mtu yeyote anayevaa jezi za sportpesa huyo sio mwenzetu, huyo ni yanga.