Mwingereza Daniel Dubois amtwanga mwingeleza Antony joshua kama ngoma

Mwingereza Daniel Dubois amtwanga mwingeleza Antony joshua kama ngoma

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU

Kwanini waingileza ndo kama wameukamata huu mchezo wa ngumi

Ni baada ya hapo jana waingileza wawili kutwangana na mwingeleza mmoja kutwangwa kama Ngoma

Huyu Joshua kabla hajapigana nilimpa ushauli nili mfuata inbox huko Instagram nilimpenda sana jamaa alijibu text zangu nilishangaa sana kwa kweli nahisi hii inatokana na mimi account yangu ya Instagram kupost vitu vinavyohusiana na dini tu huenda hicho ndo kilimvuta zaid

Kuna vitu tukachonga tukaelewana fresh kabisa lakin nilipompa ushauli juu ya chapa Jesus Christ kwenye pens yake akapinga nikaona jamaa kanipinga akidai yeye anamwamini YESU rohon

Leo nimemtext hajajibu ngoja tuone kesho

Acha tu apigwe maana ubishi mwingine haufai

LONDON BOY
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU

Kwanini waingileza ndo kama wameukamata huu mchezo wa ngumi

Ni baada ya hapo jana waingileza wawili kutwangana na mwingeleza mmoja kutwangwa kama Ngoma

Huyu Joshua kabla hajapigana nilimpa ushauli nili mfuata inbox huko Instagram nilimpenda sana jamaa alijibu text zangu nilishangaa sana kwa kweli nahisi hii inatokana na mimi account yangu ya Instagram kupost vitu vinavyohusiana na dini tu huenda hicho ndo kilimvuta zaid

Kuna vitu tukachonga tukaelewana fresh kabisa lakin nilipompa ushauli juu ya chapa Jesus Christ kwenye pens yake akapinga nikaona jamaa kanipinga akidai yeye anamwamini YESU rohon

Leo nimemtext hajajibu ngoja tuone kesho

Acha tu apigwe maana ubishi mwingine haufai

LONDON BOY
Mwingereza siyo Mwingeleza
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU

Kwanini waingileza ndo kama wameukamata huu mchezo wa ngumi

Ni baada ya hapo jana waingileza wawili kutwangana na mwingeleza mmoja kutwangwa kama Ngoma

Huyu Joshua kabla hajapigana nilimpa ushauli nili mfuata inbox huko Instagram nilimpenda sana jamaa alijibu text zangu nilishangaa sana kwa kweli nahisi hii inatokana na mimi account yangu ya Instagram kupost vitu vinavyohusiana na dini tu huenda hicho ndo kilimvuta zaid

Kuna vitu tukachonga tukaelewana fresh kabisa lakin nilipompa ushauli juu ya chapa Jesus Christ kwenye pens yake akapinga nikaona jamaa kanipinga akidai yeye anamwamini YESU rohon

Leo nimemtext hajajibu ngoja tuone kesho

Acha tu apigwe maana ubishi mwingine haufai

LONDON BOY
Andika vizuri sasa
 
Back
Top Bottom