Mwingira amlaani mchungaji Loliondo!



Bila kusahau ukatende mema, nafikiri hii haina shida kama kule kwa kakobe ambako anathubutu kusema kuwa wakati wa yesu umepita na sasa ni wakati wa kakobe, je inamaana yeye ni sawa ya yesu?
 
Kwa kweli huyu Mtume na Nabii anonekana kumkose hata huyo Mungu wake, yaani analaaani ili huduma hiyo ife na Babu afe. Mwngira hana uwezo wa kuumba binadamu kwa maana hiyo hana ruhusa ya kumwombea mabaya huyo binadamu, kama kweli hiyo dawa ni ya uwongo amwachie Mungu mwenye utaratibu mzuri itajulikana tu, na sio kujidai kumshauri Mungu cha kufanya.

Hatahivyo, ingawa Babu ni mchungaji mstaafu wa KKKT, sijaona kama huyo anatoa dawa kwa kuwalazisha wagonjwa kwa imani ya dhehebu hilo. bali kila mtu kwa imani yake kwa Mungu.
 
Mimi najiuliza ni kwanini hawa viongozi wa dini wanapinga mambo ya kiimani huku hata wao wakihubiri majukwaani mambo ya kiimani ambayo ni vigumu kuyathibitisha kisayansi. Inanisikitisha Mwingira kumlaani Mwasapile kisa eti anawatoza watu Tshs500 kwa huduma anayotoa, mbona yeye anawatoza watu wake sadaka?
 
si sahihi kuhalalisha ya babu kwa vile wengine pia kama kakobe, mwingira nk nao wanafanya. tupeni support ya kimaandiko please
 
basi na makanisani kwao wawakatalie watu kutoa sadaka ka ndo hivo
 
Mwingira anaona sasa deal linaharibika badala ya watu kwenda kwake kanisani wanakimbilia kwa babu.
Inatakiwa kufahamu kuwa mtu huponywa huku akisaidiwa na imani na watu ama wagonjwa hawawezi kupona kwake kama hawana imani naye na hili linashuhudiwa na mitazamo tofauti binadamu waliyonayo huyu kakobe, huyu assembles of God mwingine katoliki mara Mzee wa upako yoye kwa yote ni imani na amani ya roho amabayo mtu anadhani akiabudu hapo ataipata na kukua kiroho.
 
...Babu Mwasapile huiombea ile dawa kabla hajawanywesha watu wake. Zaidi ya hapo, kitu gani hawa watumishi wa Dar wanachotaka kutuaminisha? Itanichukua miaka mingi sana kuwaamini na kujiunga na watumishi 'maslahi' waliojazana Dar, ambao hujali maslahi yao zaidi kuliko ya waumini wao masikini wa kutupwa. Kakobe, Mzee wa Upako, Mwingira and the like, hawajawekeza hata kwenye shule ya chekechea kutokana na sadaka zao, hawana udhu wa kumkandia mchungaji Mwasapile kwa kuchukua shilingi 100/- katika kila 500/- wanayolipa wagonjwa.
 

mwignira huyu huyu
ametangaza watu wa vitongojo...,anakusanya sh 3000 kwa kila mtu na kati kati wanapitidhas michango kiba imagine wewe kanisa lina w\atu zaidi ya laki2 na anakusanya sh 3000 kila mwezi wacha michango ya kati halafu mbaya zaidi anawaatishia viongozi make sure unamfwata muum mini mpaka anapokaa sidhan kama n haki..m nilikuwa mhudhuriaji mzuri wa ibada za jion nilipoona hayo nimebaki kuishia jumapili..kati kati namfwata mungu kanisa zingine...nafikiri ajaiulize huyu babu anaponya watu kwa 500 yeye amefanya nini kwa hiyo 3000 zake..na siku hizi kila siku kanisan anaanza na neno la mungu la sadaka na zaka usipotoa utalaaniwa wwewwe nakwambia mara iki mara kile huyu ambilikile wangemleta dar akika akuna angesali makanisa kama ya mwingira..mwingira jiangalie ujisafishe kwanza wanasema atutakiwi kumgusa masihi wa mungu kwa kuwa wewe umemgusa wacha na sie tukuguse maovu yako
 
Reactions: Mbu
Kama kuna mwumini anaenda kwa huyu shetani mwingira kwa matumaini ya kuona uzima wa milele ajue amepotea.mwingira ni kibaka tu wa neno la mungu na katu hana mamlaka ya kulaani au kumzuru mtu.hakuna mchungaji au askofu anaweza kusimama kwenye kanisa la mungu na kutoa maneno maneno ya laana kama anavypfanya huyu nabii uchwara.amefilisika kiakili na kifikra.tumsamehe tu huyu maana hajui alinenalo.kuna siku hili kanisa la dhuluma litawaka moto na kupotea kabisa maana halina baraka yoyote ya mungu ila uchu wa kujikweza nakujilimbikizia mali.mwulize mwingira hicho kiwanja alichokiiba na kudhuluma ili apanue kanisa lake hapo mwenge kweli alitumwa na mungu?yeye mwenyewe ni msafi wa roho?watu wanaomfahamu wasingeweza kusali kwenye kanisa hilo
 
si sahihi kuhalalisha ya babu kwa vile wengine pia kama kakobe, mwingira nk nao wanafanya. tupeni support ya kimaandiko please

Hizi kweli ni zama za kina Tomaso ni maandiko yepi Musa aliwapa wanawaisrael ili kuwaconvice wamgeukie yule nyoka wa shaba. Ni ruksa kuijaribu roho unayokuwa unawasiwasi nayo lakini ni vibaya kuongea ilikujaribu kuwashawishi wengine waamini kama uaminivyo.

Sijahalalisha kazi ya babu lakini sina haki ya kupinga afanyacho zaidi ya kuwa na shauku ya kuona moja ya ninaowafahamu anapona kwa kutumia dawa ya babu ili ni confirm kazi ya babu ni kweli au si kweli.
 
Natoa angalizo kwa kauli tunazo zitoa kwenye vyombo vya habari kuhusu babu anayetibu kwa kunywa maji,tunachohitaji ni taifa la watu waliopona, suala la ghalama la malipona ,hata yeye anahamasisha kutoa michango tena mingi ,mwingila ameanzisha benki,anashule yote hii waumini wamechanga eiza ni sadaka au michango na ufadhili mbalimbali lakini kwa babu unatoa tsh 500 tu,zaidi naambiwa anaigawa kuipeleka kwenye vyombo vya wumini tofauti.pia hivyi kuomba hadi upayuke au ushike biblia hebu soma mathayo anasema uombapo ingia chumbani ukaonge na mungu wako wa sirini kwa siri ,hivyo sio lazima upayuke ili ujulikane umesema yesu.pia lazima tujue utendaji kazi wa mungu na ndiyo maana anayeshea mvua watu wote bila kujali watenda dhambi au dini .wazima au wagonjwa.
 
alafu siku hizi kama umemsikia ameanza kutishia watu wanaohama kanisan kwake ati nakwambia wewe ulieenda uko upati kitu kama mungu wa MWINGIRA amekuandalia mwingira utaruka koteeeeeeeee
jamani kuna Mungu wa ambilikile wa mwingira..huyu MUNGU wako wangapi..majuzi nilienda na mdogo wetu mmoja anasali DPC kinondoni alisema mwanzo na mwisho kumpeleka pale..alipofika akaanza kukandia na nyie mnaokimbia makanisa yenu kukimbilia ibada za EFWATA nawaambia mmepoteza muda wenu hapa baraka natoa kwa wana efwata tu hata ukae mpaka saa moja..nikaona watu wanaanza kuondoka kichekecho ati kuna walinzi wamefunga mlango akuna kutoka mpaka amalize ibada..sasa kama akuna baraka mnangangania watu wabaki kanisan wa nini???waachen watu wawe huru usibague makanisa MCH MWINGIRRA HUU SIO MUDA WAKE....muwen na upendo na amani na si Kujiona huyu zaidi mimi zaidi amtafika kumbukeni lengo lenu ni kusudi la MUNGU litimizwe lakini naona WACHUNGAJI WENGI SASA WAMEKUWA ZAIDI YA MAGUFULI WANATAFUTA UMAARUFU WAO BIINAFSI BADALA YA KUTAFUTA SIFA ZA BWANA YESU

WENU
MTUMISHI/KANISA LA MWINGIRA
 
Reactions: Mbu

Mungu anapewaje?utukufu hapo? Utukufu nikutenda mema yanayompendeza mngu jee? Babu kuponya sikaziyakumpendeza mngu? mwingira sikaziyake kuhukumu wakuhukum ni mngu anayejuwa kuwa mwingira anatumia ni rohoyakweri nani? Au babu katumwa namngu wakujuwahayoyote ni mngu siyo mwingira
 
Mchanganuo wa pato la babu, katika Tshs 500 anayokusanya kwa kichwa

Tshs 200 - Wachimbaji na wabebaji kutoka porini wa dawa
Tshs 200 - Anapeleka kanisani
Tshs 100 - Hii ndio ya babu.

Source ni moja ya watu waliomhoji Babu kuhusu pato lake.

Watu wanahoji haya kama Mwingira lakjini ikumbukwe babu kwa sasa anafanya hii kazi almost 24/7 je wanadhani akale wapi pili mwingira mwenyewe anapata mshahara kama anaona ni batili akatae mshahara na marupurupu yote. Kakobe yeye anawalazimisha wafanyakazi wapeleke Salary Slip ili aweze kujua fungu lako la kumi pamoja na kujua kama unamuibia mungu.
 
Reactions: Mbu
Kaazi kweli kweli. Sadaka anapata ngapi kwa kila misa yeye hapo alipo??? Anazipeleka wapi??? Kwa nini anatembelea magari na sio Punda kama Yesu??? Duniani kuna vituko kweli kweli. Huduma kapewa mwingine, maelekezo kapewa mwingine, yeye anazuka anajua mkataba wa mtu huyo na Mungu akitaka ulingane na jinsi Mungu alivyomwita yeye!. Mie simo kwenye kunyooshea wengine vidole, nirekebishe yangu kwanza na Mungu - kila mtu atasimama mwenyewe siku ya hukumu. :car:
 
mbona topic haindani na maelezo uliyoyatoa? tujuze huyo nabii mwingira kasemaje kuhusu mchungaji babu ktk vyombo vya habari sio ishu ya yeye kua na benk au kumiliki shule.
 

MISS JUDITH = kakobe = MWINGIRA
 

Mbona yeye anapokea sadaka na zile account anazo pitisha za nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…