Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kwa mliokuwa kanisan siku yajumapili naona mh mmja ameshawajuza kilichoendelea anyway jf wajiiiiiiiiiiinga...waandishi wa habari wajiiiiiiiinga yaani akushia hapo...nanniiiiiiiiiinaooooooooo wash.....
sasa kuna hili lililonikuna kuuliza ok waandishi wajinga,jf ndio hao wanakutia wazimu ibada ufundishi unaishia matuzi..nauliza kulikoni kama wajinga ukalazimsha tv yako ifungwe wasionyeshe live
haya makanisa ndio tunalilia mungu aingilie kati kwa kweli..anyway sitaki kukujaji ila mwingira na hawa waliofunga tv imagine watu wangapi wamekosa neno la mungu kwa ajili ya mambo yenu ya kidunia(MATUSI)????kati ya hawa nani mjinga??
sasa kuna hili lililonikuna kuuliza ok waandishi wajinga,jf ndio hao wanakutia wazimu ibada ufundishi unaishia matuzi..nauliza kulikoni kama wajinga ukalazimsha tv yako ifungwe wasionyeshe live
haya makanisa ndio tunalilia mungu aingilie kati kwa kweli..anyway sitaki kukujaji ila mwingira na hawa waliofunga tv imagine watu wangapi wamekosa neno la mungu kwa ajili ya mambo yenu ya kidunia(MATUSI)????kati ya hawa nani mjinga??