KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Kuna siku mh Rais Kikwete alikemea viongozi wa dini kujiingiza kwenye siasa, kwani viongozi mnaowanadi, siku wakishindwa, waumini hawatawaamini.
Mwaka mpya wa 2015, Nyalandu alikua kanisani kwa Mwingira, na alitabiriwa anaukwaa urais na nabii Mwingira.
Sasa naomba kukuuliza Mwingira na waumini wake, je tuendelee kuuamini??!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...i-kanisani-amhusisha-kikwete-na-majini-4.html
Mwaka mpya wa 2015, Nyalandu alikua kanisani kwa Mwingira, na alitabiriwa anaukwaa urais na nabii Mwingira.
Sasa naomba kukuuliza Mwingira na waumini wake, je tuendelee kuuamini??!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...i-kanisani-amhusisha-kikwete-na-majini-4.html