Nilihudhuria huu mkesha Wa mwaka mpya.
Hakusema directly japo nyalandu alikuwepo pale kama muumini lakini pia walikuwepo wanasiasa wengi akiwemo pindi chana na mke Wa magufuli. Alisema madhabahu hii itatoa rais na nyalandu akapewa nafasi kutoa neno akazungumzia vijana na maono.