Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Kwa hiyo kupandisha timu ndio guarantee ya kocha kuendelea kuifundisha timu? Hiyo mitazamo ya kizamani. Ukiwa kwenye jumba la sanaa hata kama sio msanii lazima uwe msaniiMbona wameacha kocha aloipandisha? Huyu tatizo msanii ataharibu
Watafka mbali? WapGwambina kama hawatajihusisha na siasa za simba na yanga. Watafika mbali sana.
Pakuchumia tuWa congoman wanaipenda sana Tanzania. Karibuni.
Huyu anakuwa Mkurugenzi wa UfundiMbona wameacha kocha aloipandisha? Huyu tatizo msanii ataharibu
Wakina MO na TFF yao wasituharibie tuu MpiraMsimu ujao utakua mgum sana, kama waamuzi watalipwa vizuri.
Simba, Azam, Yanga, Namungo, Gwambina, Ihefu, KMC, Kagera Sugar, Polisi Tanzania & Prisons aiseee tutegemee soka safi
Nchi hii kukwepa usimba na uyanga ni ngumu kwani chanzo ni huko kwenye tff na kamati zake zote ndiko kuna endeshwa na usimba na uyanga!! Hata sakata hili linaloendelea bila usimba na uyanga, lilikuwa sio la kukaa muda wote huo!! Watu badala ya kuangalia kanuni/sheria zinasemaje wakijua hili litatuumiza wanaweka kanuni pembeni eti itumike busara!!! Na mfano huyo zahera aifanye hiyo timu iwe tishio utasikia tena wazee wa kuharibu wanaanza.Gwambina kama hawatajihusisha na siasa za simba na yanga. Watafika mbali sana.
Kwani Nani kakukataza kuwa shabiki wa Mtibwa au Mbeya City?Nchi hii kukwepa usimba na uyanga ni ngumu kwani chanzo ni huko kwenye tff na kamati zake zote ndiko kuna endeshwa na usimba na uyanga!! Hata sakata hili linaloendelea bila usimba na uyanga, lilikuwa sio la kukaa muda wote huo!! Watu badala ya kuangalia kanuni/sheria zinasemaje wakijua hili litatuumiza wanaweka kanuni pembeni eti itumike busara!!! Na mfano huyo zahera aifanye hiyo timu iwe tishio utasikia tena wazee wa kuharibu wanaanza.
Mbona umedandia gari kwa mbele?!! Hueleweki, soma kwanzaKwani Nani kakukataza kuwa shabiki wa Mtibwa au Mbeya City?
Hii timu ya Misungwi na yeye ndio Mmiliki
Kwa hiyo Msolla ni Mkurugenzi wa Yanga,na Senzo je?Mbona redioni wametangaza kocha na benchi la ufundi linabaki lile lile lililoipandisha timu daraja.. mwinyi zahera sio kocha bali ni mkurugenzi wa ufundi wa gwambina.. ni cheo cha kiuongozi kama cha msolla pale yanga
Kwa hiyo Msolla ni Mkurugenzi wa Yanga,na Senzo je?