Mwinyi Zahera ateuliwa kuwa mkurugenzi wa ufundi Gwambina fc

Mwinyi Zahera ateuliwa kuwa mkurugenzi wa ufundi Gwambina fc

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Aliyekuwa kocha wa Zamani wa Yanga Mwinyi Zahera ametangazwa na team ya Gwambina fc kuwa mkurugenzi mkuu wa ufundi wa team hiyo. Gwambina inakuwa team ya kwanza Tanzania kuwa na cheo Cha mkurugenzi mkuu wa ufundi, mfumo huu Ni mahususi Sana bara la ulaya mfano mzuri pale Chelsea mkurugenzi mkuu wa ufundi Ni Marina Granovskaia, ukienda Arsenal Wana edu ukienda Bayern Munich Wana Hasan Salihamidzic, Dortmund Wana Michael Zorc.
 
Usiku niliumiaa kuona picha ya Mwinyi nikahisi ashapewa ukocha na yule aliyeipandishaa kabwagwaa make wale vijana wana mpiraa mmoja amizing jamaa kawapandikiza kitu kizurii msimu ujayo kuna timu zitaombaa poii kukukana na hii timu
 
Timu wataiharibu kuanza kuingiza mamluki. Timu bado changa hao mapro wengi wanataka hela ndefu, issue itakuwa kuwamaintain.
 
Usiku niliumiaa kuona picha ya Mwinyi nikahisi ashapewa ukocha na yule aliyeipandishaa kabwagwaa make wale vijana wana mpiraa mmoja amizing jamaa kawapandikiza kitu kizurii msimu ujayo kuna timu zitaombaa poii kukukana na hii timu
Kuna mtu mrefu pale anaitwa matogolo jamaa anaujua
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Sawa tunasubiri hukumu ya wakati bila mipango thabiti na ukichanganya usimba na uyanga itakuwa tafurani muda sio mrefu
 
Back
Top Bottom