Kusajili wachezaji,makocha ,kuandaa mipango ya timu ya muda mrefu au mfupi,ku analysis performance ya kocha na team nzima n.kKazi zake ndo zipi??
Short and clearKusajili wachezaji,makocha ,kuandaa mipango ya timu ya muda mrefu au mfupi,ku analysis performance ya kocha na team nzima n.k
AsanteKusajili wachezaji,makocha ,kuandaa mipango ya timu ya muda mrefu au mfupi,ku analysis performance ya kocha na team nzima n.k
Moro United,Kajumlo na Azam walikwina?Mimi ni mshabiki wa gwambina damu damu. Msimu ujao cpl simba, yanga na azam mujipange kweli kweli.
Kuna mtu mrefu pale anaitwa matogolo jamaa anaujuaUsiku niliumiaa kuona picha ya Mwinyi nikahisi ashapewa ukocha na yule aliyeipandishaa kabwagwaa make wale vijana wana mpiraa mmoja amizing jamaa kawapandikiza kitu kizurii msimu ujayo kuna timu zitaombaa poii kukukana na hii timu
Wanampiraa wao hauchoshii ...FA walinishangazaKuna mtu mrefu pale anaitwa matogolo jamaa anaujua