Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ndiyo boss wa benchi la ufundi yaani tikiniko dailecta.Haya ndo machafua sherehe hata sijui yanafata nini
Sasa zuhuru wanamleta wanini pale msimbazi?
Labda kama wanamuajiri awe mwalimu wa simba queens kama kujishkiza huku akiendelea kufuatilia madeni yake pale yanga
Haya ndo machafua sherehe hata sijui yanafata nini
Sasa zuhuru wanamleta wanini pale msimbazi?
Labda kama wanamuajiri awe mwalimu wa simba queens kama kujishkiza huku akiendelea kufuatilia madeni yake pale yanga
Hilo ndio tatizo lake, lakini pia asije akaleta majungu.zahera anawajua wachezaji wengi ila ni dalali mnòo
Maisha bila unafki hayaendi.Nchi hii inaongoza kwa unafiki duniani, huyu huyu Zahera ambaye alikuwa anatukanwa 24/7, hadi press conference zilikuwa zinaitishwa kwasababu yake wanasiasa, viongozi wa michezo pamoja na mashabiki wanaishi kwa unafiki ni ngumu kusogea kwa huu ujinga, anywei bila shaka mtamshonea Suluari za kuvaa.
Ila watanganyika tumezidiMaisha bila unafki hayaendi...
Huyohuyo ndiyo wakwenu
KwaTz majungu na unafiki ni sehemu ya maisha, kwahiyo siyo jipya.Hilo ndio tatizo lake, lakn pia asije akaleta majungu
Usipanic ,utaalam na uzoefu wake unamlinda kupata ajira simba pale. Tunahtaji wachezaji kutoka DRC, wenye umri mdogo na wapiganaji uwanjani na maeneo mengine ya Tanzania.Nchi hii inaongoza kwa unafiki duniani huyu huyu Zahera ambaye alikuwa anatukanwa 24/7, hadi press conference zilikuwa zinaitishwa kwasababu yake wanasiasa, viongozi wa michezo pamoja na mashabiki wanaishi kwa unafiki ni ngumu kusogea kwa huu ujinga, anywei bila shaka mtamshonea Suluari za kuvaa
Siwezi kupanic.......sioni jipya ambalo Mwinyi anaweza kuoffer na kuwa scout wa kuwaletea wachezaji vijana, wakati kila siku alikuwa anajitapa kuwa anaishi ufaransa......anyway kupanga ni kuchaguaUsipanic ,utaalam na uzoefu wake unamlinda kupata ajira simba pale. Tunahtaji wachezaji kutoka DRC, wenye umri mdogo na wapiganaji uwanjani na maeneo mengine ya Tanzania.
Nafasi za kazi simba bado zipo nyingi sana ukiachana na department ya soka kuna uhaba wa wapishi so tutam consider zahera kwa hilo.Akiwa mwalimu wa Simba Queens, vipi Mgosi akale wapi?