mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Wadau naomba mnafahamishe juu ya kazi sahihi ya Mwinyi Zahera je ni Msemaji wa Yanga au ni Kocha wa Yanga? Napata taabu kumtofautisha na Msemaji wa Simba Haji Manara kwani kila siku Mwinyi Zahera lazima atokee kwenye magazeti ,radio na TV kama Haji Manara .