Mwinyi Zahera ni nani pale YANGA?

Mwinyi Zahera ni nani pale YANGA?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Papaa Mwinyi Zahera.... Hivi ni Rais, Mwenyekiti, kocha, msemaji, katibu au mweka hazina wa Yanga! Sielewi elewi hapa!
Nasikia kamfukuza meneja
 
Inasemekana kaweka hela zake nyingi sana kwenye hiyo klabu, hivyo ana mamlaka.
 
Habari za uhakika ni kwamba , Canavaro kaenda kumuuguza mama yake huko kwao Zanzibar.
 
kocha anayo mamlaka ya kumfukuza meneja. hata kocha wa simba alimfukuza masudi juma
 
.
Screenshot_20190426-180655.jpeg
 
Ni Jacky of all trade, yeye anajua kila kitu, kocha yeye, mchambuzi yeye, msemaji yeye, mfadhili yeye

Naipenda sana Yanga ila Zahera amekua kama ni tatizo pale, ni kweli katusaidia ila asitumie hicho kigezo kutuona sisi ni mabwege mtozee
 
tuanzie na hapa; kwanini mnyama hampendi papaa zahera!?
Ni Jacky of all trade, yeye anajua kila kitu, kocha yeye, mchambuzi yeye, msemaji yeye, mfadhili yeye

Naipenda sana Yanga ila Zahera amekua kama ni tatizo pale, ni kweli katusaidia ila asitumie hicho kigezo kutuona sisi ni mabwege mtozee
 
Back
Top Bottom