Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mi napenda kuwaambia watu wa Yanga, timu hii tunaweza iendesha sisi wenyewe. . kule ulaya, mfano mashabiki wa Barcelona kutoka maeneo mbalimbaliwa wao wanahakikisha wanatia kitu katika mfuko wa timu yao.
Tunaweza jipatia miezi miwili kuwa tufanye namna moja ya kujenga timu yetu sisi wenyewe. . tupo karibia watu milioni 15 Tanzania Nzima tunaoipenda Yanga , na kuna majamaa ndani ya familia, baba, mama na watoto wote Yanga. . tukiwamata hawa wote na tukaamua tujipatie miezi miwili ya kusema kila mtu achangie kitu kidogo kwa timu yake. Eeeebwana tutakuwa na fungu kubwa sana la pesa.
Mwaka kesho Mungu akasaidia tukashiriki michuano ya kimataifa tukiwa na fungu letu wenyewe na tukachagua wachezaji wazuri aaaah tunaweza fanya mambo makubwa sana. . naomba wana Yanga wote tujitayarishe kwa hii program, tujiandae wenyewe kuiendesha timu yetu!
- Mwinyi Zahera
02 January , 2019.
Tunaweza jipatia miezi miwili kuwa tufanye namna moja ya kujenga timu yetu sisi wenyewe. . tupo karibia watu milioni 15 Tanzania Nzima tunaoipenda Yanga , na kuna majamaa ndani ya familia, baba, mama na watoto wote Yanga. . tukiwamata hawa wote na tukaamua tujipatie miezi miwili ya kusema kila mtu achangie kitu kidogo kwa timu yake. Eeeebwana tutakuwa na fungu kubwa sana la pesa.
Mwaka kesho Mungu akasaidia tukashiriki michuano ya kimataifa tukiwa na fungu letu wenyewe na tukachagua wachezaji wazuri aaaah tunaweza fanya mambo makubwa sana. . naomba wana Yanga wote tujitayarishe kwa hii program, tujiandae wenyewe kuiendesha timu yetu!
- Mwinyi Zahera
02 January , 2019.