Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipatana vyema na wakipendana.View attachment 335191
Mwisho Mwampamba kulia akiwa na mdogo wake walieshare baba, Robert Mwampamba (kushoto). Hapo walikuwa mahakamani juzi mjini Morogoro ambapo Mwisho kashitakiwa na mdogo wake kwa kumtukana matuzi ya kibaguzi. Hii ni sikyu chache baada ya Baba yao kufariki duniani.
NB:
Sitaki Kejeli eti Wanaume wa Dar hii ni taarifa tu.
Mwisho aliwahi pataga mahela?? mwaka gani na alizipatia wapi?Wanagombea urithi baada ya Mzee kufariki nini?...yale mahela hakufanya cha maana,cha kurithi ndo kitakutoa?..pumbavu.
mkewe ni yule anaduka la vyombo pale mwenge au?Kumbe h
Kumbe huyo mdogo wake mwisho aliemshtaki anaitwa Robert?huku mwenge tumemzoea kwa jina la Abdul na jamaa ni mkorofi sana huyo
Huyu Jamaa nilikuwaga najua yupo Namibia..Anaishi bongo now?ndio maana kipindi cha boys to boys kimechukuliwa na daniel kijo du pole yake
Ndio huyo huyo ila anaduka jingine pia kule chini ile njia ya kawemkewe ni yule anaduka la vyombo pale mwenge au?