Mwisho Mwampamba, nini kimemsibu?

huyu jamaa ndoto zake za mwanzo alipenda kuwa mwanasheria alipopata umaarufu shule sina uhakika kama alitamani tena
 
wa nchi gani wewe unaeuliza? ulizaliwa mwaka 2012 ama?
Nilijua tu unataka kutudanganya kwamba ukiwa mshindi wa pili au wa tatu kwenye Bigbrother Africa unapata mtonyo wa maana....kwa taarifa yako alipata kapesa ka kubadilishia mboga....
 
wewe ulijuaje awe wewe nyumba ndogo ya mwisho
Acha ukambuga.....Unaweza ukawa mrefu na usione juu mimi ni rijali Nadindisha zaidi ya baba yako mzazi....Na ukiendelea nitakuingilia kinyume na ......... ndotoni. KENGE
 
Kilichomsibu umeshakisema kuwa kamtukana matusi ya kibaguzi ndugu yake.
 
Kumbe huyo mdogo wake mwisho aliemshtaki anaitwa Robert? Huku Mwenge tumemzoea kwa jina la Abdul na jamaa ni mkorofi sana huyo..
Sanaaa! Kipindi alikua anakaa tegeta, alikua Na Jeep fupi hivi! Ila mtu poa, ukimzingua anakuzingua haswa!
 
Milioni 100 kwa miaka ile (na hata sasa) unaona si kitu cha kutokea maisha? Acha kumkufuru Mungu!
Unachanganyaa madawaaaa..mwishoo hajawai pata Pesa alikuwa Ni cherise mzambiaa hata aliporudia akishika Wa ngapi sijuii....Yaani Big brother Ni the Winner gets all!!and the looser analooae kweliiii ilikuwaa kuuza face tuuuu
 
Daah braza yangu aliwapiga hawa jamaa mpunga mrefu(aliuza nyumba yao) kipindi hicho afu wababe kinoma siku waliyomkamata walimgaragaza kwenye miba, kwa wiki tatu home walikuwa wanamchomoa miba jamaa kutoka mwilini
 
Afu jamaa alivyotoka bba huyo ndugu yangu ndie alikuwa anaongoza msafara kwa pikipiki lake, baada ya miez kadhaa akawapiga
 
Huyo naye yaani kuambiwa ye mweusi ndio kakimbilia mahakamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…