Ficha ujinga wako. Mwisho hajawahi shinda 100m. Ni Richard ndiye alishinda 100m za BBA. Kiufupi huu uzi una wajinga wengi kama 90% ya wachangiaji.
Mwisho hakuwa wa 2 kwenye All starsNa hiyo hakushinda pia alikuwa wa pili wa kwanza alikuwa Uti wa Nigeria Mwisho alikuwa wa pili tena
DadadadadeeeekiiiiNa Dustan
Shekidele,Morogoro.
Ikiwa takriban siku 40
tangu baba yao, Dk.
Ephraim Njawala
Mwampamba, Mhadhiri
wa Chuo Kikuu cha Kilimo
Cha Sokoine (SUA) afariki
dunia, mwanaye Mwisho
Ephraim Mwampamba
ameburuzwa mahakamani
na kaka yake, Robert
Ephraim
Mwampamba'Ras',
Jumatatu iliyopita.
Kesi hiyo namba 197/2016
ilisikilizwa katika
Mahakama ya Mwanzo
Chamwino iliyopo
Mazimbu mkoani hapa,
ambapo Robert
alimburuza mahakamani
hapo mdogo wake huyo
waliyechangia baba,
akimtuhumu kumtukana
matusi ya nguoni huku
sehemu kubwa ya matusi
hayo yakiwa ya kibaguzi.
Kabla ya kufikishwa
mahakamani hapo,
Mwisho alitokea
mahabusu alikolala kwa
siku moja ambapo baada
ya kesi kusikilizwa, alipata
dhamana huku ikidaiwa
kuwa kesi hiyo imemkalia
vibaya kutokana na
ushahidi unadaiwa upo.
Akisoma kesi hiyo
mahakamani hapo,
Hakimu Amina Chungulu
alidai Mwisho
anatuhumiwa kumtukana
matusi ya nguoni
(hayaandikiki gazetini)
kupitia namba za simu
(tunazihifadhi) ambayo
inaaminika inamilikiwa na
Mwisho Mwampamba.
Mwisho alipoulizwa na
hakimu huyo alikana
kutenda kosa hilo na
Robert alipoulizwa kama
ana ushahidi ndipo
aliposema anao wa meseji
hizo kwenye simu yake.
Hakimu huyo aliahirisha
kesi hiyo hadi Aprili 11,
mwaka huu huku Robert
akitakiwa kufika
mahakamani hapo na
meseji hizo kama
ushahidi.
Aidha, Hakimu Amina
alisema dhamana iko wazi
kwa mshitakiwa;
mdhamini mmoja na
shilingi laki 4 ambapo
kaka mwingine wa Mwisho
aliyezaliwa naye baba
mmoja na mama mmoja,
lsambe alimdhamini
mdogo wake huyo.
Alikua handsome huyuu ajipange tu
Wewe ndie Mjinga! Mwisho Mwampamba alikuwa Mshindi wa Pili nyuma ya Mganda Gaetano akala Mzigo huo na tuliokuwa tunakimbiza Mjini miaka hiyo tukampisha kwa muda ale Ray C kama Idrissa anavokula Wema pesa zilivoisha akarudi Moro kama atavorudi Idrissa kwao Arusha akiacha Born town mdogo mdogo wanakula vyao!
migegedonaizesheni mchezo?Mh Yale madolar aliyokuja nayo BBA yameisha? Makubwa
Sibishani nawe maana hujui unabisha bila sababu. Nenda kafuatilie halafu uje hapa na habari za uhakika sio za kuhadithiwa hapo mtaani kwenu.
Hahahahaha watu bwanaWanagombea urithi baada ya Mzee kufariki nini?...yale mahela hakufanya cha maana,cha kurithi ndo kitakutoa?..pumbavu.
amefilisika kumbe? [emoji34]muachen milionea wa zaman
Hakushinda mil 100, mnakumbuka alikuwa runner-upMilioni 100 kwa miaka ile (na hata sasa) unaona si kitu cha kutokea maisha? Acha kumkufuru Mungu!
Hakushinda, hawakuwa na zawadi ya mshindi wa 2. Alipataga tuu vitender vya modeling na promotion SA basi, hakuwa na Mil 100/wala nn, sana sana wamama ndio walikuwa wanamuweka ndaniWewe ndie Mjinga! Mwisho Mwampamba alikuwa Mshindi wa Pili nyuma ya Mganda Gaetano akala Mzigo huo na tuliokuwa tunakimbiza Mjini miaka hiyo tukampisha kwa muda ale Ray C kama Idrissa anavokula Wema pesa zilivoisha akarudi Moro kama atavorudi Idrissa kwao Arusha akiacha Born town mdogo mdogo wanakula vyao!
Hahahaaaaaamigegedonaizesheni mchezo?