Huyo jamaa ni ndugu usiongee usilolijua na yy na mkewe wana duka la vyombo used pale Mwenge magengeni,wamemsitiri sana huyo Mwisho na Njaa zake alikua anashinda hapo Mara nyingi,rangi isikuchanganye Baba yake Mwisho ni msafwa mweusi kama huyo Abdul aka RobertHuyu hawezi kuwa ndugu wa Mwisho Mwampamba hadi dunia iishe!. Na hana undugu na mtu yeyote zaidi ya kutafuta fursa tu!.
Huyo jamaa ni ndugu usiongee usilolijua na yy na mkewe wana duka la vyombo used pale Mwenge magengeni,wamemsitiri sana huyo Mwisho na Njaa zake alikua anashinda hapo Mara nyingi,rangi isikuchanganye Baba yake Mwisho ni msafwa mweusi kama huyo Abdul aka Robert
Game zimekataa amerudisha mpira kwa golikipa
Wewe ndio uje utuambie Gaetano Mganda alieshika namba moja mshindi namba mbili alikuwa nani?
Umaarufu wa Mwisho ndio ulipoanzia usione aibu kukiri kutokujua au kusahau ni sehemu ya Uungwana ile unayodhani hakushinda ilikuwa ni shindano special lililokusanya Washindi watupu na ndipo M Nigeria alishinda kwa nn hutaki kujiuliza kama hakuwa Mshindi wa pili ilikuaje aliitwa tena kushiriki shindano la washindi watupu?
Gaetano hakuwahi kushinda big brother. Lileshindano aliloshiriki mwisho Mara ya kwanza alishinda mwanamke kutoka zimbabweWewe ndie Mjinga! Mwisho Mwampamba alikuwa Mshindi wa Pili nyuma ya Mganda Gaetano akala Mzigo huo na tuliokuwa tunakimbiza Mjini miaka hiyo tukampisha kwa muda ale Ray C kama Idrissa anavokula Wema pesa zilivoisha akarudi Moro kama atavorudi Idrissa kwao Arusha akiacha Born town mdogo mdogo wanakula vyao!
Nashukuru kwa kumjuza huyo Pohamba anaebisha bila sababu.Gaetano hakuwahi kushinda big brother. Lileshindano aliloshiriki mwisho Mara ya kwanza alishinda mwanamke kutoka zimbabwe
Acha kusapoti ujinga.Jamaa hajui afu anajifanya mbishi tatizo kaanza kumjua kwenye Alll Star usibishane nae mwache.
Pesa unazozipata kwa kuuza utu wako kisa Big brother Africa unafikiri mungu anazibariki!?Wanagombea urithi baada ya Mzee kufariki nini?...yale mahela hakufanya cha maana,cha kurithi ndo kitakutoa?..
mkewe ni yule anaduka la vyombo pale mwenge au?
Wanaume wa Dar mshaanza mambo yenuNdio huyo huyo ila anaduka jingine pia kule chini ile njia ya kawe
Ni kweli alikua namibia mara mwisho mwaka jana mwezi wa tatu alionekana mbeya akishuka kwenye basi from dar akidai anaelekea namibia kwa mkewe. Akaulizwa swali la kizushi kwann akaishi kwa mkewe namibia kwanini mke asije kuishi hapa tz? Akajibu kwa kuuliza kwanini yeye asiende kuishi namibia? Akajibiwa kuwa kutokana na jamii yake ni ya ki partiliner society yaani mwanamke anahama kwao anakuja kwa mwaname. Baada ya kuulizwa hivo akakasirika hakuweza kujibu tena. Wana jf maisha yanabadilika sana, posibility za maisha kukuendea kombo hapo mbeleni ni kubwa kuliko maisha kuwa mazuri mbeleniHuyu Jamaa nilikuwaga najua yupo Namibia..Anaishi bongo now?
Yesu kristu, Bwana tuepushie mbali hata mabalaa, looohNi kweli alikua namibia mara mwisho mwaka jana mwezi wa tatu alionekana mbeya akishuka kwenye basi from dar akidai anaelekea namibia kwa mkewe. Akaulizwa swali la kizushi kwann akaishi kwa mkewe namibia kwanini mke asije kuishi hapa tz? Akajibu kwa kuuliza kwanini yeye asiende kuishi namibia? Akajibiwa kuwa kutokana na jamii yake ni ya ki partiliner society yaani mwanamke anahama kwao anakuja kwa mwaname. Baada ya kuulizwa hivo akakasirika hakuweza kujibu tena. Wana jf maisha yanabadilika sana, posibility za maisha kukuendea kombo hapo mbeleni ni kubwa kuliko maisha kuwa mazuri mbeleni
DuhHuyo ni mwisho au babu yake,mbona kakongoroka hvyo,kapima ngoma lakin?
Watu hujifunza kupitia watu. Hmna mtu aliyesimama bila kujifunza kutoka kwa wengine akawa perfect. Ni vizuri kujua watu wanaishije na changamoto wanazopitia ili uweze kujifunza yake mazuri waliyofanya uyachukue na yale mabaya uangalie namna ya kuyaepuka. Jioni njemaWanaume wa Dar utawajua tu!
Kesi ifanyikie Moro mabishano yapambe dar!
Nashangaa sana mnaomcheka mwisho hapa mtandaoni badala ya kujiuliza we kesho yako umeiandaa vipi! Au kisa mwisho maarufu?
Usipojipanga kuchalala kupo pale pale.
Ni kweli ila sidhani kama Mwisho alishawahi kuelezea ni changamoto zipi alipitia katika harakati gani za kiutafutaji!Watu hujifunza kupitia watu. Hmna mtu aliyesimama bila kujifunza kutoka kwa wengine akawa perfect. Ni vizuri kujua watu wanaishije na changamoto wanazopitia ili uweze kujifunza yake mazuri waliyofanya uyachukue na yale mabaya uangalie namna ya kuyaepuka. Jioni njema
Milioni 100 kwa miaka ile (na hata sasa) unaona si kitu cha kutokea maisha? Acha kumkufuru Mungu!