Mwisho Mwampamba

Nafikiri baada ya Baba yake kufariki jamaa hana ujanja tena kwani alikuwa anaishi kwa pesa za baba yake.Nahisi atakuwa ameenda kwao Mbeya huko kulima mpunga mashamba ya urithi.Lakini pia Mama ake Mjerumani yupo Morogoro so Mwisho akiishiwa zaidi anaenda kwa Mama anachota mpunga anasaaaaaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…