johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sasa tuna Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi
Huko Mbele tusichoweza kukodisha ni Daladala tuππ
So tutabaki na Waziri wa Daladala
Kamati ya Bunge ya Miundombinu itakuwa inakwenda kukagua Daladala na Bajaji za J J Mnyika ππππ
Mila jambo la muda mrefu huangaliwa Kuanzia mwisho wake siyo mwanzo wake
Nawatakia Dominica Njema!
Huko Mbele tusichoweza kukodisha ni Daladala tuππ
So tutabaki na Waziri wa Daladala
Kamati ya Bunge ya Miundombinu itakuwa inakwenda kukagua Daladala na Bajaji za J J Mnyika ππππ
Mila jambo la muda mrefu huangaliwa Kuanzia mwisho wake siyo mwanzo wake
Nawatakia Dominica Njema!