kasulavenance
JF-Expert Member
- Jan 23, 2020
- 759
- 914
Mambo yamekuwa mambo Tanzania. Wakati bado tunasumbuliwa na NIDA na usajili wa line mpya kwa wale mliokuwa na passport za kusafiria mjue kuwa mwisho wake wa kutumia hati hizi za kusafiria ni kesho kutwa.
Inabidi kuanza zoezi jingine la kwenda Uhamiaji. Na shida inakuja pale unapoenda na kitambulisho cha taifa bado wanakuambia kalete barua toka mwenyekiti, cheti cha kuzaliwa nk.
Inabidi kuanza zoezi jingine la kwenda Uhamiaji. Na shida inakuja pale unapoenda na kitambulisho cha taifa bado wanakuambia kalete barua toka mwenyekiti, cheti cha kuzaliwa nk.