Mwisho wa mwaka ichapishe sarafu za dhahabu zenye kumbu kumbu za matukio muhimu ziuzwe kwa wananchi

Mwisho wa mwaka ichapishe sarafu za dhahabu zenye kumbu kumbu za matukio muhimu ziuzwe kwa wananchi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Benki Kuu ichapishe sarafu zenye kumbu kumbu ya nchi. Sarafu za dhahabu ziuzwe kwa bei ya sokoni.

Matukio kama kuapishwa kwa rais, mlima Kilimanjaro, wanyama wetu nk.

Zichapishwe kwa idadi maalum na ziuzwe si chini ya Tsh. 100,000. Kuna collectors wengi wanapenda kuhifadhi vitu na wengine tutaweka kama akiba tukiishiwa hela ya chumvi tutauza kwa sonara.

Ni wazo tu.
 
Wapinzani wamechakaa kuanzia mwonekano hadi mawazo

Sasa umeandika upupu gani huu? Hamchoki kubweka
 
Wapinzani wamechakaa kuanzia mwonekano hadi mawazo

Sasa umeandika upupu gani huu? Hamchoki kubweka
Umeelewa au 'Upinzani' umetamalaki kwenye ubongo wako kwa 100%. Ameshauri iwe kama moja ya mapato kwa serikali.
 
Si kwa sababu umeona serikali haina mpunga
Benki Kuu ichapishe sarafu zenye kumbu kumbu ya nchi. Sarafu za dhahabu ziuzwe kwa bei ya sokoni.

Matukio kama kuapishwa kwa rais, mlima Kilimanjaro, wanyama wetu nk.

Zichapishwe kwa idadi maalum na ziuzwe si chini ya Tsh. 100,000. Kuna collectors wengi wanapenda kuhifadhi vitu na wengine tutaweka kama akiba tukiishiwa hela ya chumvi tutauza kwa sonara.

Ni wazo tu.
 
Nilitembeaga wakati anaingia madarakani kumbe lile li kifua liliwezeshwa na masalia ya hela za utawala wa JK leo hapa niketungwa jina naitwa nina roho mbaya kisa tu nikipigwa kibomu na ndugu zangu najibu sina tofauti na enzi zile mbaya zaidi mke wangu ndie anaeshikwa uchawi kuwa ameniroga nimebadilika sisaidii ndugu kama zamani.ANYWAY KIFUA MBELE MY A...........S
 
Benki Kuu ichapishe sarafu zenye kumbu kumbu ya nchi. Sarafu za dhahabu ziuzwe kwa bei ya sokoni.

Matukio kama kuapishwa kwa rais, mlima Kilimanjaro, wanyama wetu nk.

Zichapishwe kwa idadi maalum na ziuzwe si chini ya Tsh. 100,000. Kuna collectors wengi wanapenda kuhifadhi vitu na wengine tutaweka kama akiba tukiishiwa hela ya chumvi tutauza kwa sonara.

Ni wazo tu.
Naomba nkulize swali ila ntatoka nje ya mada
Hivi wale wanao collect postal stamps za zamani
Huwa wanazipeleka wapi!

Ova
 
Naomba nkulize swali ila ntatoka nje ya mada
Hivi wale wanao collect postal stamps za zamani
Huwa wanazipeleka wapi!

Ova
For fun unakumbuka 1947 WWII ilikuwa inaishia
 
Benki Kuu ichapishe sarafu zenye kumbu kumbu ya nchi. Sarafu za dhahabu ziuzwe kwa bei ya sokoni.

Matukio kama kuapishwa kwa rais, mlima Kilimanjaro, wanyama wetu nk.

Zichapishwe kwa idadi maalum na ziuzwe si chini ya Tsh. 100,000. Kuna collectors wengi wanapenda kuhifadhi vitu na wengine tutaweka kama akiba tukiishiwa hela ya chumvi tutauza kwa sonara.

Ni wazo tu.
Numismatic coins. Babu yangu Aspirin kumbe ana kichwa nyumbani!!
Mimi nilidhani ni yule Bibi wa kupika na kupakua tu.
 
Benki Kuu ichapishe sarafu zenye kumbu kumbu ya nchi. Sarafu za dhahabu ziuzwe kwa bei ya sokoni.

Matukio kama kuapishwa kwa rais, mlima Kilimanjaro, wanyama wetu nk.

Zichapishwe kwa idadi maalum na ziuzwe si chini ya Tsh. 100,000. Kuna collectors wengi wanapenda kuhifadhi vitu na wengine tutaweka kama akiba tukiishiwa hela ya chumvi tutauza kwa sonara.

Ni wazo tu.
Aibu kubwa Sana tuna dhahabu tele lakini hatuna reserve ya dhahabu Central Bank
 
Ni wazo zuri ila naonaga kama ni ishu za matajiri maana hizo coins huuzwa bei ya juu kuliko thamani ya dhahabu iliyomo. Ila baada ya miaka mingi huwa na thamani kubwa sana hasa kwa brand kubwa kama za marekani au Autralia. Kuwekeza kwenye vitu kama hivi ni safi sana kwa hela zetu zisizo tabirika. Ingekuwa poa kungekuwa na firm/bank ambayo watu wanainvest kwenye gold, tanzanite etc. Unaangalia tu bei ya leo, unajua una tsh ngapi.
 
Back
Top Bottom