Mwisho wa "Per Diem"? - Pinda aungwe mkono

hujauliza ni bei gani anapewa, niliona marupurupu ya wabunge, sijui ni hapa JF, sikumbuki. Nilichoka. Kwa mwezi nadhani wanapata kama 3.8 m (Tshs).

who let you out?
 


Hapa nakubaliana na wewe kabisa, mashirika mengi tu ya kimataifa yana semina na makongamano lakini hawana per diem... kama serikali itaboresha wages kama ulivyosema, hili la kuondoa per diem litawezekana kabisa kwa sababu sasa hivi makongamano yanatumika kama source of income na sio kwa sababu zilizokusudiwa!
 

Hizo semina hufanyika nje ya ofisi makusudi ili kuhalalisha ulipaji DSA/Per diem/posho na allowances nyingine.Zikifanyika hapo ofisini hakuna malipo hayo na kusudi la hizo semina siyo kweli kuongeza uelewa au ujuzi bali ni kuongeza kipato (mara nyingi).
 
Hata hizo seminaries zitakazokuwa approved matumizi yake yawekwe bayana kama mtu amepata fedha ambayo matumizi yake hayakuwa direct to the seminaries yalipiwe KODI stahili. Hapa ndo tutaanza vizuri bin haki.
EE bwana unataka tukale wapi? au kwa sababu huna access na vijisenti hivyo?
 
Tatizo ni iyo mishahara yao ya TGS ndo wanaamua kukazia na semina,warsha,tafrija,kongamano.
Big up Pinda ila isije ikawa maneno matupu.
Atleast waanze kuwa wanakaa maofisini
 
EE bwana unataka tukale wapi? au kwa sababu huna access na vijisenti hivyo?

Una maana gani unapo sema ''access na vijisenti''? Mafisadi unaowapigia kelele leo walianza na hivyo vijisenti!
 
Next level eeeeeh...hao ndio wale wale wanapishana huko mawizarani na taasisi za serikali wanaulizana.."jamani hakuna kasemina mahali? Mifuko mitupu!" Sasa muulize ni ya nini anaulizia au ipi hiyo atasema "yoyote tu" tumekaa sana humu ndani! Niliwahi kusikia huwa wanakwenda kwa zamu kuna wakati hata wapika chai waliokaa muda mrefu wanachukuliwa kwenda kuhudumia huko (Morogoro, bagamoyo) ili nao wapate chochote!
 

Nilipata kazi serikalini,nikakomplain mbona mshahara ni kidogo? Bosi mkubwa tu akanijibu "bwana mzee ukijumlisha na semina kama tau au nne hivi basi utakuwa mzito zaidi ya unavyotegemea", nikamuuliza mbona kazi yangu haitoi nafasi ya kusafirisafiri kwani nitakuwa peke yangu kituoni? akajibu hiyo haimo serikalini, Basi mie nikawa nimeshindwa na nilipoenda waambia rafiki zangu walio serikalini waliniona mjinga sana kwani wote wanaishi hivyo, Ukweli hapo Pinda kapinduka pwaaaa!!!
 


Hiyo mbona kawaida kabisa....
 
Kwa mtindo huo ripoti hii inamake sense:

DASSU STEPHEN
Daily News; Wednesday,November 19, 2008 @21:15

Iincome poverty at the household level has significantly decreased among Tanzanians over the past six years, Deputy Minister for Finance and Economic Affairs Jeremiah Sumari has said. Sumari quoted recent studies in Dar es Salaam yesterday indicating a significant segment of the local population who could not afford basic needs had gone down to 33.2 per cent - from 35.7 per cent between 2001 and 2007.

The deputy minister was speaking during an official opening of a three-day consultative meeting on a National Strategy for Growth and Reduction of Poverty (NSGRP) and Public Expenditure Review (PER). Mr Sumari also said the studies had also shown that food availability was also rising: some 19 out of 100 people in 2007 were able to cater for their food needs as compared to 16 out of 100 people in 2001.

Local experts also say the Gross Domestic Product (GDP) in the country is reported to have increased from 6.7 to 7.1 per cent within the same period of time. The other sectors which have in recent past witnessed a significant improvement included education, health, tourism, infrastructure and communication, said Mr Sumari.

He reiterated that the government through the 2025 development vision will continue to improve living standards among its people in all aspects of life. Speaking in the same occasion, a representative of development partners, Ambassador Tim Clarke, stressed a need for people's participation and good governance as a requisite in fighting poverty among the grassroots. “It very important to make effective and efficient use of public resources….. Dialogue that includes all key stakeholders is also very important in promoting people’s development and public ownership,” he noted.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…