Uchaguzi 2020 Mwisho wa sarakasi zote ni Oct 28. Kila mtu atavuna alichopanda

Uchaguzi 2020 Mwisho wa sarakasi zote ni Oct 28. Kila mtu atavuna alichopanda

PRINCE CROWN

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,210
Reaction score
4,175
Wana JF wenzangu kilele cha kampeni kina hitimishwa kesho na siku ya kukata maneno ni Juma 5. Kama ulipanda viazi usitarajie kuna Choroko. Hii iwafikie wabunge WOTE na madiwani pamoja na Urais.

Wajumbe tupo tayari tumesha vitayarisha vikatio vyetu. Tutachagua Maendeleo na sio porojo na hadithi za Alfu lela ulela. Kwamba tukikuchagua tutalalatu na kukuta minoti mifukoni. Tuta chagua mutu ya kazi na sio Dalali wa mabeberu.

Tuta chagua Sera na sio komedi. Hatuta kubali kuwachagua watu waliokua wametuaminisha kwamba nchi hii imechezewa sana. Na sasa wamekua watetezi wa mafisadi na wala rushwa.

Hatuta kubali kuwachagua watu Ambao wanadai hakuna Uhuru wakati upo ila wao wanataka Uhuru wa kutukana wengine na kuwazushia mambo ya uongo.

Nchi inapaa wazee hakuna longo longo chuma chetu kitapeta tena Asubui Asubui maana kazi tunaiona.
 
Mgombea wa Chadema alidhani matusi ndio yatampatia kura [emoji3]

Nasikia tayari anatikit mkononi ya kurudi ubeligiji wiki ijayo

Huwezi kumtukana Rais Magufuli Watanzania tukakuchekea

Jumatano ni kumchinja msaliti wa Nchi kwenye boksi la kura
 
Mambo ya kushabikia mapenzi ya jinsia mmoja yanamtokea mtu puani.
 
kuna mtu safari hii HACHOMOKI - panda ubaya vuna ubaya!!
 
Kubishana na MATAGA ni kupoteza muda. Kikubwa kila mtu ampigie kura mtu ambaye ana mlengo nae full stop.
 
Kama namuona Lissu akivuna 20% alizopanda.

Magufuli tayari alishinda katika uchaguzi huu, Now tunatafuta Ushindi wa kishindo.

Nieleweke vizuri, sio ushindi tu bali Ushindi wa kishindo.
 
Kuna maisha baada ya uchaguzi.Uchaguzi usiwe kuendeleza chuki kati ya wananchi.
Watakaoshinda wasibeze kila kitu walichopigania walioshindwa,na hivyo hivyo walioshindwa wasibeze kila kitu walichopigania walioshinda.
Bali kumalizika uchaguzi mmoja ni mwanzo wa matayarisho ya uchaguzi ujao.
Tupiganie haki ya kupata katiba ya Warioba kabla ya uchaguzi 2025.
Kizazi hiki kipya kinataka katiba mpya,uwazi na uhuru wa mawazo.
 
Back
Top Bottom