Mwisho wa ubaya ni aibu; Magufuli Receives Praises from the same people who mocked him inhumanly

Mwisho wa ubaya ni aibu; Magufuli Receives Praises from the same people who mocked him inhumanly

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
MY TAKE ;Hahahaha, hahahaha, hahahaha.

=====

Kenya is reopening up the economy gradually by easing lockdowns in the most affected areas, and hence people can travel anywhere but only if their driver has met the requirements as it will be demanded by Ministry of Health.

Check out what Kenyans had to say about Magufuli after President Uhuru’s address to the nation.

Ms Kimunyu: Magufuli was right all along! Looks like we had closed the country just for PR. How do you ease restrictions when things are getting worse?

1b297a559be74dd5df3c928befaf4b08

27cb26299ea4ae1456cb88c92f7f8a09

ba1572eb0494cdc72388db94ca5fb762


Tom: Thanks’ Mr. President. For the first time you have tried to reason like Magufuli.

cc063a05c1368bf025988f3ee39ea076


Emmanuel: Magufuli was right. We should have observed the measures by the health ministry and continued with business.

df7f937be816b47af0d23dc284df8ce7
 
Wametii na bado watakubali sana
Tatizo la Kenya wana asili kama ya wamarekani ile kujiona wao ni bora kuliko watu wengine wao wana akili Sana kuliko wengine bc ilimradi tu kila kitu wao Kwanza sasa Kwa kawaida ukishajiskia tu kupita kuasi bc ushafeli!! Ndio kilichowakuta , walizani kupima Sana inaonesha uchumi wako uko vizur kiasi gani kumbe ni upuuzi tu hata haviendani .
 
Kwanini hawaendelezi na #UKAIDI_WA_MAGUFULI?
Wakati mwingine maneno mengi bila kujipa muda wa kufikiri na kujifunza unaishia kujishushia hadhi yako.

Somo kwa wakenya:
Watu wote hatuwezi kufikiri sawa.
Siyo kila mara wewe upo sahihi wenzio wanakosea.
 
Tatizo la Kenya wana asili kama ya wamarekani ile kujiona wao ni bora kuliko watu wengine wao wana akili Sana kuliko wengine bc ilimradi tu kila kitu wao Kwanza sasa Kwa kawaida ukishajiskia tu kupita kuasi bc ushafeli!! Ndio kilichowakuta , walizani kupima Sana inaonesha uchumi wako uko vizur kiasi gani kumbe ni upuuzi tu hata haviendani .
Na mkitoka lockdown mkumbuke mna dwni la kumlipa MCHINA + mlilochukua majuzi hapa . Kwa hiyo vyima vitakazwa huko.
 
Ndg mwandishi:
Kichaa anaweza akawa anakula na kuishi jalalani na maeneo yote hatarishi miaka yote na na vipindi vyote vya mwaka(masika,vuli,kiangazi,kipupwe) asiumwe hata kidogo.
Jaribu wewe wiki 1.

NB: Ni mfano tuu kuonesha tunatofutiana
 
Wametii na bado watakubali sana
Niliwaambia huu mwaka wao na mabeberu watatii wakawa wananikebei mwaka Jana na kuniita mzee wa mwakani sikuizi awataki hata kukomenti hoja zangu wananiona mkosi
SASA NAWAAMBIA WAKENYA KUWA KUNAKITU KINAWEZA KUIKUTA KENYA KINAKUJA BAADA YA KUFUNGUA NCHI YAO KINAITWA " SUPER LOCKDOWN"
 
Kuna wakati viongozi Wenye Misimamo mikali ni Muhimu sana kwa interest pana za Taifa haswa wakati wa Majanga au matatizo ni Muhimu maamuzi magumu yakachukuliwa Ili Kinachobaki kibaki na kinachopotea kipotee hii principles ivo very practical hata kwenye real life ukiwa mtu wa kuchungulia jirani anafanya nini bila kuangalia situation yako ilivo ni hatari kwa unao waongoza ni Wazi EA countries nyingi hazikufanya Assessment kuona impact ya corona Na Sijui upuuzi wa lockdown hata hawa Heath and Community experts wa hayo mataifa walio Walio washauri marais wa impose Curfew na Lockdown ni wapumbavu kabisa we Graph ya dunia inasema Black wanaokufa na Convid19 ni very minor leo una lock watu wa Kibera ambao hata toilets kwao ni shida unategemea nini? Mimi nilikuwa naunga mkono sana JPM kupotezea na kukacha na Ujinga wao wa mikutano ya Zoom ya kujazana Ujinga, umfungie Mwafrika kisa Flu serious?
Nimeona jana mzee baba kampa Kongole Martin shigela RC Tanga alivyoshughulikia inshu ya border ya Horohoro Alimpa kongole kimafumbo watu wengi hawaku notice hilo.
Haya Kenya endeleeni na Ujinga wa kumsikiliza DG wa WHO Tedro na Melinda Gates ile hali US kwenye tayari kuna Rally zinaendelea tena zikiwa na Capacity kubwa ya audience bila measures zozote za social distancing kuwa observed si mmeona hata Maandamano ya Floyd
 
Back
Top Bottom