mtungu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2021
- 270
- 435
Ivi huu mda mbona mchache Sana tarehe 30 si mbali vilabu vyetu vitaweza kwenda na muda kweli hususani yanga isije tokea kama mwaka jana Simba nazani tupo makini na Mambo ya caf sababu tushazoe tff waangalie latiba yao upya ikiwezekana ligi iishe tarehe 20 mwezi huu siku kumi ziwe za pilikapilika kwenye usajili