Mwisho wa uswahiba wa Simba na TFF ndio mwanzo wa mataji ya ligi kutua Yanga

Mwisho wa uswahiba wa Simba na TFF ndio mwanzo wa mataji ya ligi kutua Yanga

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
Wanasports salaam.

Kwa zaid ya miaka 4 TFF na Simba wamekuwa maswahiba wakubwa hali iliyopelekea minong'ono upande wa Yanga kwamba TFF Soka anaibeba Simba.

Baada ya ujio wa GSM mitaa ya Jangwana mambi mengi yamebadilika lakin bado Yanga hawajaweza kupata ubingwa mbele ya Simba.

Msimu huu baada ya GSM kusajili Wachezaji wazuri wamekaa na kugundua kwamba kikwazo pekee kilichobaki Kwa Yanga kushinda taji la ligi kuu ni uswahiba Kati ya SIMBA na TFF.

TFF Kwa kujua ama kutojua dhamira ya GSM wameingia kichwa kichwa na hapa GSM wanaelekea kufanikiwa kukiondoa kikwazo pekee kilichobaki Kwa Yanga kutwaa taji la ligi kuu.

Mwisho wa uswahiba wa Simba na TFF ndio mwanzo wa mataji ya ligi kutua Yanga.
 
Wanasports salaam.

Kwa zaid ya miaka 4 TFF na Simba wamekuwa maswahiba wakubwa hali iliyopelekea minong'ono upande wa Yanga kwamba TFF Soka anaibeba Simba.

Baada ya ujio wa GSM mitaa ya Jangwana mambi mengi yamebadilika lakin bado Yanga hawajaweza kupata ubingwa mbele ya Simba.

Msimu huu baada ya GSM kusajili Wachezaji wazuri wamekaa na kugundua kwamba kikwazo pekee kilichobaki Kwa Yanga kushinda taji la ligi kuu ni uswahiba Kati ya SIMBA na TFF.

TFF Kwa kujua ama kutojua dhamira ya GSM wameingia kichwa kichwa na hapa GSM wanaelekea kufanikiwa kukiondoa kikwazo pekee kilichobaki Kwa Yanga kutwaa taji la ligi kuu.

Mwisho wa uswahiba wa Simba na TFF ndio mwanzo wa mataji ya ligi kutua Yanga.
Nyie mtaishia lile birika la kuvutia shisha huko Zanzibar lakini ubingwa mtasubiri sana na magumashi zenu za huyo mkwepa kodi mwandamizi.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
HOME SHOPPING CENTRE WANAFANYA YALE YA BANDARINI SASA KUVURUGA SOKA LA BONGO MSIMU UJAO SIMBA INAENDA RWANDA BAKINI NA MAKOROKOCHO YENU WAJINGA NYIE SIMBA IVAE LOGO BEGANI KWA MILIONI 3.5 KWA MWEZI..HEEE
 
HOME SHOPPING CENTRE WANAFANYA YALE YA BANDARINI SASA KUVURUGA SOKA LA BONGO MSIMU UJAO SIMBA INAENDA RWANDA BAKINI NA MAKOROKOCHO YENU WAJINGA NYIE SIMBA IVAE LOGO BEGANI KWA MILIONI 3.5 KWA MWEZI..HEEE
Mbona mnvaa Mo29 kwa bilioni 20 hewa[emoji23]
 
Wanasports salaam.

Kwa zaid ya miaka 4 TFF na Simba wamekuwa maswahiba wakubwa hali iliyopelekea minong'ono upande wa Yanga kwamba TFF Soka anaibeba Simba.

Baada ya ujio wa GSM mitaa ya Jangwana mambi mengi yamebadilika lakin bado Yanga hawajaweza kupata ubingwa mbele ya Simba.

Msimu huu baada ya GSM kusajili Wachezaji wazuri wamekaa na kugundua kwamba kikwazo pekee kilichobaki Kwa Yanga kushinda taji la ligi kuu ni uswahiba Kati ya SIMBA na TFF.

TFF Kwa kujua ama kutojua dhamira ya GSM wameingia kichwa kichwa na hapa GSM wanaelekea kufanikiwa kukiondoa kikwazo pekee kilichobaki Kwa Yanga kutwaa taji la ligi kuu.

Mwisho wa uswahiba wa Simba na TFF ndio mwanzo wa mataji ya ligi kutua Yanga.
Mo kawashikia akili zenu mnashindwa hata kufikiri, amewabakizia akili ambazo mnachoweza ni kula, kulala na nguvu za kubeba vitu vizito katika viwanda vyake
 
Vita ni hela,kampuni ya GSM haijawahi kushindwa vita ya hela,Mo hawezi mbahili sana
Kati ya Ghalibu na Mo nani anapesa zaidi ya mwenzie? Kumbuka duniani hakunaga mtu bahili bali huwa ni suala la umuhimu tu wa wapi pesa itumike
 
Mafanikio ya Simba kimataifa, Tff hua anaambulia kitu hivyo hawezi kujipotezea hela.
 
Kati ya Ghalibu na Mo nani anapesa zaidi ya mwenzie? Kumbuka duniani hakunaga mtu bahili bali huwa ni suala la umuhimu tu wa wapi pesa itumike
Ghalibu chupli chupli
 
Back
Top Bottom