Mwisho wa wanaume wengi kwenye mahusiano, hasa wale wanaosikiliza sana machozi ya mwanamke

Mwisho wa wanaume wengi kwenye mahusiano, hasa wale wanaosikiliza sana machozi ya mwanamke

TZ-1

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
4,321
Reaction score
7,501
Hivi ndivyo mwisho wa wanaume wengi kwenye mahusiano yao hasa wale wanaosikiliza sana machozi ya mwanamke na kuwajali zaidi kuliko kujipa wao kwanza kipaumbele.

Mwanamke ambaye hajatoka kwenye familia yako na mmekutana tu naye ukubwani siyo ndugu yako na hatofikiria mara 2 kukuchinjia baharini pale atakapojisikia kufanya hivyo.

Siku zote mwanamke anafuata zaidi hisia zake kwenye mahusiano wala hajali ni kiasi gani wewe mwanaume umejitoa na kujinyima vitu vingi kwa ajili yake.

Mwanaume kwenye mahusiano jifunze

1. Kucheza vizuri karata zako vizuri katika mapenzi. Kamwe usijinyime na kujitesa kisa mtoto wa mtu.Mpe mwanamke kile unachoweza kumpa kilicho ndani ya uwezo wako na usizidishe zaidi ya kipato chako.

Hii itakusaidia kuepuka majuto pale mahusiano yenu yanapoenda mlama.Nakukumbusha tena mwanamke ambaye hajatoka kwenye familia yako siyo ndugu yako muda wowote kinaweza kunuka ndani ya mahusiano yenu .

2. Ukihonga honga kiakili usije ukadhani ulipendwa. Mpe mwanamke wako kila kitu anachotaka, ni pesa zako sikupangii jinsi ya kutumia maana wewe ndie unajua jinsi gani unavyozitafuta.

Hila usiweke matumaini makubwa kwa mke wako au mpenzi wako kuwa hamuwezi kuachana.Hilo ni kosa kubwa utakalokuwa umelifanya kwenye mahusiano yako.

Weka tahadhari na jiandae kisaklojia muda wowote na Dunia yako isizunguke kupitia mwanamke wako au mke wako. Hii itakusaidia sana siku za mbeleni kama mahusiano yenu yakienda mlama .

Kings be wise

Stay Putinized.
 

Attachments

  • 20240118_224412.jpg
    20240118_224412.jpg
    91.8 KB · Views: 33
Mkuu umepiga mle mle tupo akina sisi ambao wake zetu hata mshahara hawajui unatumikaje. Tunachojar ni matunzo huduma nzuri Kwa family.

Yaani hajawahi elewa kama anapendwa ama hapendwi
 
More Tips🧎🔥
1. MWANAMKE anavutiwa saana na mwanaume ambaye ama ameoa, yuko kwenye mahusiano, ama wanawake wengine wanampenda (wanamtaka)

2. Mara nyingi MWANAMKE hapendi mwanaume aliye single 😄
Yaani unajitambulisha "naitwa Fabian, nipo single mwaka wa 7 sasa " hiyo tu inatosha yeye kukuona wewe muongo 😃😃💔

3. Pale mwanaume ambapo hataki mapenzi au mahusiano yaendelee, mwanamke ndio hua anataka yaendelee

4. Mwanamke haoni hatari kumpotezea muda mwanaume ambaye hajielewi.
Ameshaonesha ishara zoote kua hakutaki, hakupendi, lkn wewe bado unatuma vocha, unatuma hela ukiombwa, unampigia simu na bado unajipa matumaini huku siku zinaenda??🫣🤔

5. Mwanamke humuadhibu kikatili mwanaume ambaye ni mwema (nice guy)
Anapenda saana na anajali kupita kiasi.

6. Mwanamke hua anataka mwanaume mwenye sifa ambazo hata yeye mwenyewe hana.

7. Mwanamke yuko tyr kumsamehe mwanaume ambaye hajali, mhuni tu, lofa hana kitu (bad boy) lkn atamuumiza kikatili a nice guy 👦

8. Mwanamke hana masharti wala visingizio ama dharura kwa mwanaume anaye mpenda.
Kama hakupendi siku hiyo ndio bibi yake atakufa ili tu asije kuonana na wewe 😃😃😃

9. Mwanamke hana kifua cha kupokea kukataliwa na ndio maana style yao ya kutongoza ni tofaut na wanaume.
Et mwambie achana na mimi, niko kwenye mahusiano mengine hahaha 😆 weeee anaweza kukuroga, hii hua inamuuma mno.

10. Mwanamke hawezi msahau mwanaume aliyempenda halafu akamfanya akalia😭😭 wengine woote atasahau ila sio huyu.
 

Attachments

  • 1721912875632.jpg
    1721912875632.jpg
    237.1 KB · Views: 29
Kwa kukazia tu nasema mwanamke anataka mwanaume super power. Usijidanganye kulialia au kutia huruma kwa mwanamke ukadhan ndo atakupenda zaidi, utafeli.

Mwanamke akikuletea mbwai mletee mbwai ndo atakuona kidume 👀😂

Mweleze fact ilq Akisema sikutaki sema Poa tu. Ukilialia tu, kwisha habari yako
 
Kwa kukazia tu nasema mwanamke anataka mwanaume super power. Usijidanganye kulialia au kutia huruma kwa mwanamke ukadhan ndo atakupenda zaidi, utafeli.

Mwanamke akikuletea mbwai mletee mbwai ndo atakuona kidume 👀😂

Mweleze fact ilq Akisema sikutaki sema Poa tu. Ukilialia tu, kwisha habari yako
🤜🤜🤒🤒
 
Anyway sina mpango wa kuoa na ikitokea tu imetokea basi. KUTIMIZA KUSUDI NDIO LENGO LANGU.
 
Sawa
 

Attachments

  • 1719583142957.jpg
    1719583142957.jpg
    387.4 KB · Views: 35
20 THINGS YOU SHOULD NEVER DO AS A MAN

1. Never beg or pay for a woman's attention.

2. Never apologize to a woman you didn't offend.

3. Never put a woman on a pedestal or simp for her.

4. Never choose a woman over your friends or family.

5. Never double text or call a woman who isn't owing you twice.

6. Never go down on a woman.

7. Never be vulnerable or weak around a woman.

8. Never tell a woman your future plans.

9. Never kneel to propose to a woman.

10. Never settle for a woman with tattoos, nose rings, or any piercings apart from the single one in the ear.

11. Never choose pussy over disrespect.

12. Never write long paragraphs to explain yourself to a woman.

13. Never take responsibility for a woman who still bears her father's surname.

14. Never forgive a woman for cheating.

15. Never settle for less.

16. Never tolerate disrespect from a woman.

17. Never invest in a woman who isn't equally investing in you.

18. Never be in a one-sided relationship.

19. Never try to use money to buy genuine love.

20. Never settle for a non virgin.
 
20 THINGS YOU SHOULD NEVER DO AS A MAN

1. Never beg or pay for a woman's attention.

2. Never apologize to a woman you didn't offend.

3. Never put a woman on a pedestal or simp for her.

4. Never choose a woman over your friends or family.

5. Never double text or call a woman who isn't owing you twice.

6. Never go down on a woman.

7. Never be vulnerable or weak around a woman.

8. Never tell a woman your future plans.

9. Never kneel to propose to a woman.

10. Never settle for a woman with tattoos, nose rings, or any piercings apart from the single one in the ear.

11. Never choose pussy over disrespect.

12. Never write long paragraphs to explain yourself to a woman.

13. Never take responsibility for a woman who still bears her father's surname.

14. Never forgive a woman for cheating.

15. Never settle for less.

16. Never tolerate disrespect from a woman.

17. Never invest in a woman who isn't equally investing in you.

18. Never be in a one-sided relationship.

19. Never try to use money to buy genuine love.

20. Never settle for a non virgin.
💯
 
Back
Top Bottom